Uchaguzi 2020 NEC yaongeza muda wa kuwaapisha mawakala wa vyama vya siasa kwenye uchaguzi mkuu hadi tarehe 23 Octoba 2020

Uchaguzi 2020 NEC yaongeza muda wa kuwaapisha mawakala wa vyama vya siasa kwenye uchaguzi mkuu hadi tarehe 23 Octoba 2020


Wameogopa Kazi ya CHADEMA ni noma. CHADEMA ni tasisi kubwa. Mabadiliko haramu yaliyofanywa na NEC ndani ya masaaa mawili kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa Nne Katibu Mkuu JJM alikuwa kashanasa taarifa zote nchi nzima in a very detailed manner.

Timing aliyofanya ku present kwenye press ilikuwa ni ya kiintelijensia zaidi na imeleta Matunda. Je kesho watagoma tena??
 
Katika uchaguzi huu NEC inajitahidi ili chadema wakose visingizio baada ya kushindwa katika sanduku la kura.
Kila hatua ya uchaguzi tangu mwanzo NEC inajitahidi kuisaidia CCM lakini inaangukia Pua.
 
Wameongeza muda wa kuapisha hahah
Waliotangulia mbele ya haki huko Rukwa Heshima Kwenu
Mpumzike kwa Amani
Mmetuacha kwenye mpambano mkali
Tutawaenzi !
Wamkufa ktk mapambano.

NEC wameangukia pua tena. Chadema ni taasisi lubwa ndani ya muda mfupi walikuwa na detailed infoa za nchi nzima.
 
Tamko la Mnyika limemsukuma, kwa nini wanapenda kusukumwa sukumwa?
Wameangukia pua tena. Kila wamapojaribu kuisaidia ccm mambo yanakwenda Kombo.

Huyu Mahera ni failure. Hakuna stage hata moja amefanikiwa
 
Afadhali, kidumu changu cha Petroli nawagaiya Bodaboda
Hehee wamefeli tena. Wameangukia pua. Nec kila wnapojaribu kuisaidia ccm wanazidi kufeli.

Watafute mbinu nyiinge hii ya leo imefeli na sasa tumepata nguvu na NEC imeambulia aibu kwa kushiriki huu upumbavu.
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, imongeza siku zoezi la kuwaapisha mawakala kutoka Oktoba 21 hadi 23 mwaka huu kutokana na changamoto ya idadi ya mawakala kuwa kubwa tofauti hali iliyo

Akitoa uamuzi huo wa NEC Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Dokta Wilson Mahela amesema anatumai zoezi la kuwaapisha mawakala watakaowakilisha vyama vyao katika uchaguzi mkuu litafanyika kwa utaratibu mzuri kwa kutenga maeneo ambayo yatakuwa rafiki pasipo usumbufu wowote.
Maeneo rafiki na yasiyo na usumbufu wowote ni katika kata zao,
Full stop .
Zaidi ya kuapishwa ndani ya kata zao ni wazi kuwa hiyo ni hujuma na inatakiwa kujibiwa kulingana na uzito wa kuhujumu haki ya raia kuchagua viongozi wao.
 
Maeneo rafiki na yasiyo na usumbufu wowote ni katika kata zao,
Full stop .
Zaidi ya kuapishwa ndani ya kata zao ni wazi kuwa hiyo ni hujuma na inatakiwa kujibiwa kulingana na uzito wa kuhujumu haki ya raia kuchagua viongozi wao.

Sala za Mwamakula na Dua za Ponda hizo mpaka wanaona giza
Mwamakula Ni Mtumishi wa Mungu kweli kweli.

Mungu awabariki sana na Issa Ponda.
 
Sheria ni maandiko yanayoishi, be careful.
Siasa zikikushinda unakaa kando, usitupotezee muda unajificha ficha kwenye sketi za polisi.

Wananchi wanahitaji kuishi kwenye Tanzania huru. Wanahitaji maendeleo na uchumi wa kweli.

Rule of law and the constitution that abhors impunity and abuse of power.

The constitution that vests power onto the people and free them from tyranny.

Nikukumbushe tu kwamba Tanzania sio koloni la ccm au koloni la magufuli na genge lake.

Ati tutatumia polisi! THUBUTUU!

Watanzania sio watumwa wala mateka. Acha kuota huo ujinga. Utafeli.
 
#Updates: Kilombero mkurugenzi alisema atawaapisha mawakala saa 6 mchana, sasa hv tena wamebadilisha wamesema mpaka saa 11 jioni...

wananchi wamesema isiwe tabu wamechanga pesa wameenda kununua mchele na mboga wameamua kupika chakula kabisa huku wakisubiri mawakala waapishwe ndio waondoke.

WAKIWEKA UGOKO SISI TUNAWEKA JIWE.😅

View attachment 1607375

Sky Eclat
hebu toa ufafanuzi please

kwa mfano hapo ambao wanapika ugali kumsubiri Mkurugenzi aliyefanya kafigisu ka kubadili muda a hadi 11 jioni, wapo pia mawakala wa CCM wanapika ugali?
 
Weweeeeeee... Hiiiiiiiiiiiii ngoja nicheke kisukuma.

Hao migambo wako dhaifu tunawalipa sisi wananchi.

Hii nchi sio ya magufuli wala genge la ccm.

Tunalo jeshi la wananchi, sio jeshi la ccm wala jeshi la magufuli. Msijaribu kutumia jeshi kuwaua wananchi. KAMWE MSIJARIBU WALA KUWA NA HIYO NDOTO.

Kama siasa zimewashinda kaeni kando. Jeshi halipo kwa ajili ya kulinda genge la watu waliokosa ridhaa ya wananchi.

Siasa zimekushinda kaa kando uache kujificha ficha kwenye sketi za polisi.
Piga kura rudi nyumbani kama sheria zinavyosema,tii bila shuruti.
 
Back
Top Bottom