Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Uchaguzi 2020 NEC yatoa ratiba ya mwisho: Lissu atafungia Dar, Magufuli Dodoma

Kabisa mkuu apigwe akiwa mzima kabisa. Akiwa na uwezo wa kukoroma mara 4 akiomba tumletee Gwajima.

Ukisikia Lisu anamuabisha mfalme ndiyo mwaka huu. Magufuli ataaibika kweupeee.
Hatakua na nguvu ya kutamka gwajimaaaaa
 
Bado siku 11 tuwatoe watu wa Amsterdam ngebe
Ratiba ya kampeni Magufuli kanda ya kaskazini
IMG-20201017-WA0013.jpg
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba ya mwisho ya kampeni za urais inaonyesha wagombea wanaochuana katika Uchaguzi Mkuu, Rais John Magufuli wa CCM atafunga kampeni zake Dodoma huku Tundu Lissu wa CHADEMA akihitimisha Dar es Salaam 27 Oktoba 2020.

Ratiba inaonyesha mgombea wa CCM, Rais John Magufuli ataendelea na kampeni tarehe 19 Oktoba 2020 atakuwa Bagamoyo-Pwani na Tanga. Ratiba hiyo inaonyesha Magufuli hatokwenda mikoa ya Kusini ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Leo 17 Oktoba 2020 Lissu atakuwa Singida na Dodoma.
===================

Hivi Magufuli alishaenda Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro?
Kampeni za magufuli kanda ya kaskazini
IMG-20201017-WA0013.jpg
 
Kumbe Kimara na Mbezi ni watu wa Kilimanjaro
Huyo amejiumbua na kuwaumbua wenzake...kimara na mbezi hukaliwa na watu kutoka mikoa mbalimbali...ila Kuna kundi Fulani ndani ya jamii hujitapa kuwa eneo Hilo ni lao...matatizo makubwa..
 
Magufuli ndio raisi wa mwisho kusaidiwa na dola maana wananchi wanaenda kuandaa katiba mpya
Nawachekaga mnaosemaga swala la katiba mpya ,katiba inaweza kuwepo nzuri tu ila kanuni zitakazotungwa na bunge wewe haupo zitamchomoa yoyote kama isingekuwa hiyo kanuni angetiwa hatiani .

Katiba mpya sio kigezo cha maendeleo wala haki za watu kikubwa lilia tume mkurugenzi wake asichaguliwe na Rais vinginevyo mtajifajiri tu leo siku imeisha bado siku zinayoyoma tupiga kura mrudi tena hapa.
 
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba ya mwisho ya kampeni za urais inaonyesha wagombea wanaochuana katika Uchaguzi Mkuu, Rais John Magufuli wa CCM atafunga kampeni zake Dodoma huku Tundu Lissu wa CHADEMA akihitimisha Dar es Salaam 27 Oktoba 2020.

Ratiba inaonyesha mgombea wa CCM, Rais John Magufuli ataendelea na kampeni tarehe 19 Oktoba 2020 atakuwa Bagamoyo-Pwani na Tanga. Ratiba hiyo inaonyesha Magufuli hatokwenda mikoa ya Kusini ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.

Leo 17 Oktoba 2020 Lissu atakuwa Singida na Dodoma.
===================

Hivi Magufuli alishaenda Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro?
Kampenj za ccm bila JK,Kinana,Nape,Makamba sn/jnr,the rate BWM,hamna kitu...polepole na Bashiru hawana wanachokijua kwenye art of public speaKing....LIMEWACHWEA MWAKA HUU.
 
Kampenj za ccm bila JK,Kinana,Nape,Makamba sn/jnr,the rate BWM,hamna kitu...polepole na Bashiru hawana wanachokijua kwenye art of public speaKing....LIMEWACHWEA MWAKA HUU.
Sijui kwa nini hawa wazee wa ccm wameamua kukaa kimy, labda watakuwepo dodoma
 
Back
Top Bottom