Hatakua na nguvu ya kutamka gwajimaaaaaKabisa mkuu apigwe akiwa mzima kabisa. Akiwa na uwezo wa kukoroma mara 4 akiomba tumletee Gwajima.
Ukisikia Lisu anamuabisha mfalme ndiyo mwaka huu. Magufuli ataaibika kweupeee.
Niko nakula mhogo hapa ki jiweni nasubiri jibuMgombea wetu kasema atakuwa wa kwanza kusaini matokeo ikiwa atashindwa kihalali. Wenu je
Kweli kabisaKijana acha kumlinganisha JPM na wakala wa Amsterdam
Alikua pale Tanganyika Parkers watu wanaendelea na shughuli zao. Wale walioletwa na vi coaster ndiyo waliambiwa nileteeni Gwajima.
Kulazimisha kupendwa na asiye kupenda ni gharama sana.
Ratiba ya kampeni Magufuli kanda ya kaskaziniBado siku 11 tuwatoe watu wa Amsterdam ngebe
Kampeni za magufuli kanda ya kaskaziniTume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba ya mwisho ya kampeni za urais inaonyesha wagombea wanaochuana katika Uchaguzi Mkuu, Rais John Magufuli wa CCM atafunga kampeni zake Dodoma huku Tundu Lissu wa CHADEMA akihitimisha Dar es Salaam 27 Oktoba 2020.
Ratiba inaonyesha mgombea wa CCM, Rais John Magufuli ataendelea na kampeni tarehe 19 Oktoba 2020 atakuwa Bagamoyo-Pwani na Tanga. Ratiba hiyo inaonyesha Magufuli hatokwenda mikoa ya Kusini ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.
Leo 17 Oktoba 2020 Lissu atakuwa Singida na Dodoma.
===================
Hivi Magufuli alishaenda Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro?
Wacha wee usiniambie! Eenhe!!Huyo anayehamasisha hizo fujo anafahamika na vijana wake anawalipa sh 10,000 kufanikisha fujo hizo
Kama hao wana hekima kwa upande huo, muone na huyu wa upande wa pili.👇View attachment 1603014
Watueenye hekima.
Tumia akili yako ya kuzaliwa,kwa kura Lissu napata hata 200000?Sio kwa kura, labda kwa maagizo ya Magufuli fullstop.
Huyo amejiumbua na kuwaumbua wenzake...kimara na mbezi hukaliwa na watu kutoka mikoa mbalimbali...ila Kuna kundi Fulani ndani ya jamii hujitapa kuwa eneo Hilo ni lao...matatizo makubwa..Kumbe Kimara na Mbezi ni watu wa Kilimanjaro
Kwani wanaobet si huwa wana uhakika kushinda kupo au[emoji41][emoji41]Ohoo, hiyo ni hatari sana. Mkemee shetani.
Maigizo gani kamanda? Kama ruzuku mil 360 tumeshindwa kudhibiti,nchi tutaweza kuendesha?Sio kwa kura, labda kwa maagizo ya Magufuli fullstop.
Nawachekaga mnaosemaga swala la katiba mpya ,katiba inaweza kuwepo nzuri tu ila kanuni zitakazotungwa na bunge wewe haupo zitamchomoa yoyote kama isingekuwa hiyo kanuni angetiwa hatiani .Magufuli ndio raisi wa mwisho kusaidiwa na dola maana wananchi wanaenda kuandaa katiba mpya
Kumbe Kimara na Mbezi ni watu wa Kilimanjaro
JokaKuu tuwekee ratiba
..Nimeitafuta ratiba mpya sijaiona.
Kampenj za ccm bila JK,Kinana,Nape,Makamba sn/jnr,the rate BWM,hamna kitu...polepole na Bashiru hawana wanachokijua kwenye art of public speaKing....LIMEWACHWEA MWAKA HUU.Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetoa ratiba ya mwisho ya kampeni za urais inaonyesha wagombea wanaochuana katika Uchaguzi Mkuu, Rais John Magufuli wa CCM atafunga kampeni zake Dodoma huku Tundu Lissu wa CHADEMA akihitimisha Dar es Salaam 27 Oktoba 2020.
Ratiba inaonyesha mgombea wa CCM, Rais John Magufuli ataendelea na kampeni tarehe 19 Oktoba 2020 atakuwa Bagamoyo-Pwani na Tanga. Ratiba hiyo inaonyesha Magufuli hatokwenda mikoa ya Kusini ya Lindi, Mtwara na Ruvuma.
Leo 17 Oktoba 2020 Lissu atakuwa Singida na Dodoma.
===================
Hivi Magufuli alishaenda Mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro?
Sijui kwa nini hawa wazee wa ccm wameamua kukaa kimy, labda watakuwepo dodomaKampenj za ccm bila JK,Kinana,Nape,Makamba sn/jnr,the rate BWM,hamna kitu...polepole na Bashiru hawana wanachokijua kwenye art of public speaKing....LIMEWACHWEA MWAKA HUU.