Uchaguzi 2020 NEC yatoa ufafanuzi Lissu kuzuiwa kufanya kampeni Kilwa

Uchaguzi 2020 NEC yatoa ufafanuzi Lissu kuzuiwa kufanya kampeni Kilwa

CCM kwa kushirikiana na Mahera wanataka kuibia Wananchi kura zao
 
NEC mumelikoroga wenyewe mtalinywa wenyewe, mlionywa sana mkaleta ukaidi. Aliyewatuma atawaruka kimanga shauri yenu, mnge apply hekima ya JK 'za kuambiwa changanya na za kwako'.
 
..Hatukusaini kushambuliwa na Polisi wetu hata pale ambapo hatujavunja amani.

..Pia ni vizuri Polisi wakaanza kuyathamini maisha yetu, haiswihi kuyahatarisha kwa mashambulizi kama tulioyaona Somanga.
Siungi mkono vurugu kwa namna yeyote ile, lakini lazima tuulizane chanzo chake ni kutofuata ratiba!
 
..sasa wananchi walikuwepo tayari uwanjani.

..na hakukuwa na tishio lolote la kuleta vurugu au kuvunja amani.

..kwanini wananchi wasio na hatia yoyote washambuliwe na Polisi?
Na huku Magu yeye anajiendea nanavyotaka, anasimama anapotaka; Mungu atalipa yote haya, na nyie NEC ni lazima muone aibu kwa kutumika ovyo kabisa! Mtalipa yote haya!
 
Mbona hueleweki hapa?

Maelezo yako yanajichanganya kweli kweli..

Haileweki unatoa taarifa ya NEC au unaripoti habari za safari ya Tundu Lissu Ubelgiji tarehe 18/12/2020..!!
Nawe bwege mwingine! MATAGA akili zenu mmeuza, na baada ya uchaguzi nyote mtatupwa kama used TP!
 
Tume wanasema Lissu alipangiwa Lindi, Nachingwea, na Mtwara.

Lakini hawasemi kwamba helikopta yake ilizuiwa kutua Nachingwea, na Mtwara, kwa kisingizio kwamba kuna kimbunga.

Kinachoonekana ni coordination ya mamlaka mbalimbali za serikali KUHUJUMU kampeni za Tundu Lissu.
Hizi hujuma mbona zipo wazi kabisa. Tangu alipo fungiwa inaonesha kuna hujuma zilizo ratibiwa na serekali pamoja na ccm.
 
Mwambieni lissu usaliti kwa Nchi ni laana kwa Taifa, ndio maana amekipelekea chama chake magundu

Pia Tanzania hatutaki ushoga,
Lugola na kabudi wanautetea ushoga na mashoga Tena kwa msisitizo wa kuwa wataendelea kuwa salama! Kwa maana kuwa hao no viongozi wako waandamizi wa ccm wanawatetea mashoga hadharani! Wewe ni Nani Hadi unene kinyume Chao? Na hapo lumumba mnao mashoga wa kutosha au unayataka majina na vyeo vyao?
 
Siungi mkono vurugu kwa namna yeyote ile, lakini lazima tuulizane chanzo chake ni kutofuata ratiba!

..hapana.

..wewe unaunga mkono vurugu za polisi kushambulia wananchi kwa MABOMU.

..hakuna mkutano hata mmoja wa TL ambapo wananchi wamefanya vurugu.
 
Lugola na kabudi wanautetea ushoga na mashoga Tena kwa msisitizo wa kuwa wataendelea kuwa salama! Kwa maana kuwa hao no viongozi wako waandamizi wa ccm wanawatetea mashoga hadharani! Wewe ni Nani Hadi unene kinyume Chao? Na hapo lumumba mnao mashoga wa kutosha au unayataka majina na vyeo vyao?
Kiongozi mkuu wa nchi na msaidizi wake wote ni mashoga (wa kike na kiume!), au hamulijui hilo? Lissu yeye anaongelea haki ya kuishi ya mashoga kama watu wengine kwenye jumuia, hajasema anawasapoti! Hamjui mlisemalo!
 
Kwa hiyo NEC ndio waliotuma polisi kwenda kupiga mabomu wananchi??
Nyie watendaji wa Tume Mungu anawaona hakika, mtaanguka tu! Mbona siku ya ufunguzi wa stend ya mabasi pale Mbezi Magufuli hakuwa na ratiba ya kufanya kampeni Mbezi wala popote, ratiba yake ilionyesha yuko kwenye mapumziko lakini alifanya kampeni tangu yeye hadi mgeni wake rais Ckwera wa Malwi je kwanini hamjuwapiga mabomu??? Acheni ubaguzi wa kizamani watanzania sio wajinga!
 
Back
Top Bottom