Uchaguzi 2020 NEC yatoa ufafanuzi Lissu kuzuiwa kufanya kampeni Kilwa

Uchaguzi 2020 NEC yatoa ufafanuzi Lissu kuzuiwa kufanya kampeni Kilwa

Naanza kuamini kuwa sasa CCM imechokwa na vyombo vya dola na wanafanya makusudi kumfanyia fujo Lissu ili kuionyesha dunia kuwa CCM imeshashindwa hivyo inatumia vyombo vya dola kama NEC na Polisi kulazimisha ushindi. Huu ni mpango mahsusi wa kuiondoa CCM madarakani. Asanteni Polisi na NEC kuwa upande wa wananchi.
Waongeze bidii ili,wapenda haki wahamasike zaidi kufanya uamuzi wenye manufaa kwa taifa letu.
 
Kwa wenye UFINYU wa akili.

CCM - Lowasa huwezi gombea urais, mwache Jakaya apeperushe bendera ya chama chetu. Lowasa atakua waziri mkuu👍

CHADEMA - Jakaya dhaifu, tunataka rais mwenye maamuzi magumu😍
- Lowasa fisadi tena fisadi papa. Ajiuzuluuuuu aondokeeee hatufaiiiii anauza nchiiii😍😍

CCM - Jakaya anamaliza muda wake, Lowasa anataka kupeperusha bendera lakini hatufai... hata kama wajumbe wamempitisha kwa maslahi mapana ya taifa na kwa vizazi vijavyo tumkate Lowasa tumpe John Pombe Magufuli😁👍

CHADEMA - Lowasa ni kiongozi shupavu sana. Inabidi tumwombe ahamie kwetu, tumpe nafasi agombee urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Tena atakuja na mtaji wa watu na pesa. Tutashinda🤔👎

CCM - John Pombe Magufuli ameshinda na ndie rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania😍🍹🍸💃👍

CHADEMA - John Pombe Magufuli hafai, hashauriki, ana maamuzi magumu sanaaaa😆👎

CCM - Tanzania ni tajiri sana,wananchi tuchape kazi.Tujenge mashule, mahospitali, barabara,viwanda👍

CHADEMA - Serikali haijali wananchi. Serikali inajali maendeleo ya vitu na sio watu👎

CCM - Bila kuijenga madarasa watoto wetu watasoma wapi, bila hospitali mtatibiwa na bila bararabara mtapita wapi. Hakuna maendeleo ya vitu bila watu👍

CHADEMA - Tutawasemea kwa Amstadam mnatuonea, tutamwambia hatutaki barabara, wala mahospitali, wala mashule wala viwanda. Sisi tunataka maendeleo ya watu🤣👎👎

WATANZANIA - Nyie CHADEMA msituchezee, mmetuona watoto wadogoooo. Tunasema 5tena kwa John Pombe Magufuli tarehe 28.10.2020. Hakuna wa kumshinda Magufuli😍🇹🇿😍👍👍👍👍

Heri kujiunga DECI kuliko kujiunga chadema BAK
 
UPUUZI MTUPU! aliyesema ccm kuna mafisi ni nani? Aliyesema ccm si mama yangu ni nani? acha kuonyesha UJUHA wako hadharani.
CCM - Lowasa huwezi gombea urais, mwache Jakaya apeperushe bendera ya chama chetu. Lowasa atakua waziri mkuu👍


CHADEMA - Jakaya dhaifu, tunataka rais mwenye maamuzi magumu😍
- Lowasa fisadi tena fisadi papa. Ajiuzuluuuuu aondokeeee hatufaiiiii anauza nchiiii😍😍

CCM - Jakaya anamaliza muda wake, Lowasa anataka kupeperusha bendera lakini hatufai... hata kama wajumbe wamempitisha kwa maslahi mapana ya taifa na kwa vizazi vijavyo tumkate Lowasa tumpe John Pombe Magufuli😁👍

CHADEMA - Lowasa ni kiongozi shupavu sana. Inabidi tumwombe ahamie kwetu, tumpe nafasi agombee urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania. Tena atakuja na mtaji wa watu na pesa. Tutashinda🤔👎

CCM - John Pombe Magufuli ameshinda na ndie rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania😍🍹🍸💃👍

CHADEMA - John Pombe Magufuli hafai, hashauriki, ana maamuzi magumu sanaaaa😆👎

CCM - Tanzania ni tajiri sana,wananchi tuchape kazi.Tujenge mashule, mahospitali, barabara,viwanda👍

CHADEMA - Serikali haijali wananchi. Serikali inajali maendeleo ya vitu na sio watu👎

CCM - Bila kuijenga madarasa watoto wetu watasoma wapi, bila hospitali mtatibiwa na bila bararabara mtapita wapi. Hakuna maendeleo ya vitu bila watu👍

CHADEMA - Tutawasemea kwa Amstadam mnatuonea, tutamwambia hatutaki barabara, wala mahospitali, wala mashule wala viwanda. Sisi tunataka maendeleo ya watu🤣👎👎

WATANZANIA - Nyie CHADEMA msituchezee, mmetuona watoto wadogoooo. Tunasema 5tena kwa John Pombe Magufuli tarehe 28.10.2020. Hakuna wa kumshinda Magufuli😍🇹🇿😍👍👍👍👍

Heri kujiunga DECI kuliko kujiunga chadema BAK
 
Kwanini asingesubiria ajibiwe? hilo ndio swali langu

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA

..kwanini wasimpe ruhusu haraka kabla hajafika Somanga?

..Na alipokuwa tayari yuko on the ground, wananchi wamekusanyika, na hakukuwa na vurugu, kwanini hakupewa ruhusa kuendelea na mkutano?
 
UPUUZI MTUPU! aliyesema ccm kuna mafisi ni nani? Aliyesema ccm si mama yangu ni nani? acha kuonyesha UJUHA wako hadharani.

Ndio maana CCM wakamkata akaja kuwanunua CHADEMA 😂😂😂😂
Kwa CCM Lowasa hajawahi kuwa msafi ila CHADEMA mlifata pesa na ndio mkashindwaaaaa
 
Huyo anayejiita MWENDAWAZIMU ana usafi gani? Mbona yeye ni zaidi ya lowassa kwa ufisadi, ufujaji na wizi wa pesa za walipa kodi?
Ndio maana CCM wakamkata akaja kuwanunua CHADEMA 😂😂😂😂
Kwa CCM Lowasa hajawahi kuwa msafi ila CHADEMA mlifata pesa na ndio mkashindwaaaaa
 
Huyo anayejiita MWENDAWAZIMU ana usafi gani? Mbona yeye ni zaidi ya lowassa kwa ufisadi, ufujaji na wizi wa pesa za walipa kodi?

Amezifuja kutujengea uchumi imara wa sasa na vizazi vyetu.

Tuna mabarabara, mashule, vivuko, meli, ndege, masoko, maghala ya kuhifadhi nafaka, reli, umeme, viwanda nyie wa Amstadam mutuacheeeeee

Tunampenda sana kipenzi chetu John Pombe Magufuli

Kura zote kwake 28
 
Ndio maana CCM wakamkata akaja kuwanunua CHADEMA 😂😂😂😂
Kwa CCM Lowasa hajawahi kuwa msafi ila CHADEMA mlifata pesa na ndio mkashindwaaaaa

..na sasa anasema amerudi "nyumbani" kwa mafisadi wenzake.
 
NEC imelaanika Kwa matendo yenu maovu
1603556465911.png


 
Back
Top Bottom