Uchaguzi 2020 NEC yatoa ufafanuzi Lissu kuzuiwa kufanya kampeni Kilwa

Uchaguzi 2020 NEC yatoa ufafanuzi Lissu kuzuiwa kufanya kampeni Kilwa

Naanza kuamini kuwa sasa CCM imechokwa na vyombo vya dola na wanafanya makusudi kumfanyia fujo Lissu ili kuionyesha dunia kuwa CCM imeshashindwa hivyo inatumia vyombo vya dola kama NEC na Polisi kulazimisha ushindi. Huu ni mpango mahsusi wa kuiondoa CCM madarakani. Asanteni Polisi na NEC kuwa upande wa wananchi.
 
Naanza kuamini kuwa sasa CCM imechokwa na vyombo vya dola na wanafanya makusudi kumfanyia fujo Lissu ili kuionyesha dunia kuwa CCM imeshashindwa hivyo inatumia vyombo vya dola kama NEC na Polisi kulazimisha ushindi. Huu ni mpango mahsusi wa kuiondoa CCM madarakani. Asanteni Polisi na NEC kuwa upande wa wananchi.
Hivi usemacho chewezeka? Hoja tu bila matusi
 
..Tume wanasema Lissu alipangiwa Lindi, Nachingwea, na Mtwara.

..Lakini hawasemi kwamba helikopta yake ilizuiwa kutua Nachingwea, na Mtwara, kwa kisingizio kwamba kuna kimbunga.

..Kinachoonekana ni coordination ya mamlaka mbalimbali za serikali KUHUJUMU kampeni za Tundu Lissu.
Acha uongo we kapuku,kama kuna kimbunga au hakuna ndio ikatue Somanga? Acha uongo wa kitoto.
 
Dar es Salaam. Polisi jana Ijumaa Oktoba 23, 2020 walilazimika kutumia mabomu ya machozi kuzuia mkutano wa kampeni wa mgombea urais kupitia Chadema, Tundu Lissu mjini Somanga, Kilwa kwa maelezo kuwa mkutano huo haukuwa halali...

Sasa walikuwa wanajadili nini na ratiba ya mikutano yote wanayo walitaka wakae na vyama vingine wafanye nini kama kwenye ratiba hakuna mkutano unaooneshwa kufanyika hapo Somanga.

Kwahiyo watu wanakosa fursa ya kusikiliza sera za mgombea kwa sababu ya uzembe wa NEC kuamuwa nini kilikuwa kinachelewesha kuamuwa hivi mafanikio ya NEC yanapimwa na uchache wa mikutano ya wagombea au uwongo wa mikutano ya kutangaza sera.

Ukisikia Sifa ya mtu kitaalum na mambo anayoongea unajikuta unaona aibu wewe
 
..Tume wanasema Lissu alipangiwa Lindi, Nachingwea, na Mtwara.

..Lakini hawasemi kwamba helikopta yake ilizuiwa kutua Nachingwea, na Mtwara, kwa kisingizio kwamba kuna kimbunga.

..Kinachoonekana ni coordination ya mamlaka mbalimbali za serikali KUHUJUMU kampeni za Tundu Lissu.
Kwani Tume wanashughulika na kutoa vibali vya helicopter kutua sehemu mpaka waliongele suala hilo? Wao wataongelea yanayo wahusu nalo ni ratiba
 
Acha uongo we kapuku,kama kuna kimbunga au hakuna ndio ikatue Somanga? Acha uongo wa kitoto.

..Ndio ukweli wenyewe huo.

..Tume ya Uchaguzi ilimpa ratiba ya Lindi, Nachingwea, na Mtwara.

..Mamlaka ya usafiri wa anga ikasema haruhusiwi kutua Nachingwea, na Mtwara, kwasababu kuna kimbunga.

..Alipotua Somanga, ambayo iko mkoani Lindi, wananchi waliohudhuria mkutano wake wakashambuliwa kwa MABOMU na jeshi la Polisi.
 
Hivi hakuna mahali twende tukakodi NEC binafsi jamani 😡😡😡
 
Kwani Tume wanashughulika na kutoa vibali vya helicopter kutua sehemu mpaka waliongele suala hilo? Was wataongelea yanayo wahusu nalo ni ratiba

..ndiyo maana nimekwambia ni COORDINATION ya mamlaka mbalimbali, tume ya uchaguzi, na jeshi la polisi, kuvuruga kampeni za Tundu Lissu.

..Polisi wakiona Lissu anataka kwenda eneo fulani ambako ana ushawishi mkubwa wanaanza kutumia MABOMU kama walivyofanya kule Nyamongo mkoani Mara.
 
Yeye mwenyewe anasema aliandika barua kufanya mabadiliko afanyie mkutano Somanga, we unaleta uongo.

..Ni kweli aliandika barua.

..sasa kwanini hakupewa ruhusa?

..kwanini Polisi walishambulia wananchi kwa MABOMU?

..nini ilikuwa sababu ya kuuvuruga mkutano wa Tundu Lissu Somanga?
 
..Ni kweli aliandika barua.

..sasa kwanini hakupewa ruhusa?

..kwanini Polisi walishambulia wananchi kwa MABOMU?

..nini ilikuwa sababu ya kuuvuruga mkutano wa Tundu Lissu Somanga?
Nec walikuwa wanajadili ombi lake,yeye akaleta ubabe,kama wewe unavyoleta uongo.

Habari za kimbunga na TCAA ni uongo mkubwa sana.
 
Nec walikuwa wanajadili ombi lake,yeye akaleta ubabe,kama wewe unavyoleta uongo.

Habari za kimbunga na TCAA ni uongo mkubwa sana.
Matokeo ya majadiliano ya Nec yalikuwa nini?

Hakukuwa na ubabe wowote ktk mkutano wa Tundu Lissu.

Sote tumeshuhudia kwamba kulikuwa na AMANI ila Polisi wakaamua kushambulia wananchi kwa mabomu.

Tusubiri Tcaa waeleze kwanini walizuia helikopta ya Lissu kutua Nachingwea na Mtwara, lakini Lissu amesema aliambiwa kulikuwa na kimbunga maeneo hayo.
 
Back
Top Bottom