Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
Nimekukosea nini Mbona wanitukana ? Chadema Kwanini mnapenda matusi ?
hivi unafanya kazi saa ngapi ya kujipatia kipato?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi unafanya kazi saa ngapi ya kujipatia kipato?
tusi lipi nmekutukana?Nimekukosea nini Mbona wanitukana ? Chadema Kwanini mnapenda matusi ?
Lakini lazima kuwe na ratiba iliyothibitihwa na mamlaka! Ni ajabu, nikiandika barua ya maombi ya kazi leo kesho naanza kazi! Bila mamlaka ya ajira kuniajiri! Sawa aliomba kibali angesubiri majibu!..sasa wananchi walikuwepo tayari uwanjani.
..na hakukuwa na tishio lolote la kuleta vurugu au kuvunja amani.
..kwanini wananchi wasio na hatia yoyote washambuliwe na Polisi?
Lakini lazima kuwe na ratiba iliyothibitihwa na mamlaka! Ni ajabu, nikiandika barua ya maombi ya kazi leo kesho naanza kazi! Bila mamlaka ya ajira kuniajiri! Sawa aliomba kibali angesubiri majibu!
Kuna sehemu nimetukana?Hivi usemacho chewezeka? Hoja tu bila matusi
Mtu ambaye ni loser anaachwa ahangaike, anaachwa afanye mikutano yake kwa amani, anaachwa azunguke, hapigwi mabomu, hafungiwi kampeni, gari zake hazikamatwi, hatolewi matamko na NEC wala CCM, chawa wa Bakwata hawahangaiki kumtolea matamko, hawekewi mapingamizi, mawakala wake wanatakiwa kuapishwa bila figisu, Nguvu inayotumika dhidi ya LISSU inaonesha kabisa ni jinsi gani alivyo THREAT kwa CCM.Lisu ni loser
Mimi na wewe hatuna mamlaka ya kuthibitisha kuwa hakukuwa na tishio la amani! Kuna vigezo vingi vya kupanga ratiba nadhani. Haiwezekani tu tunaishi bila utaratibu na kinyume na maadili tuliyosaini wenyewe!..haya ni masuala ya dharura, na yanatakiwa yashughulikiwe kwa uharaka.
..sasa tumeona kwamba mkutano ule ulikuwa unaweza kufanyika kwasababu wananchi walijitokeza, na mgombea alifika eneo la mkutano...
..kutokuwepo kwa " BARUA " ya Nec kunahalalisha Polisi kuwashambulia wananchi kwa MABOMU ya machozi?
Mimi na wewe hatuna mamlaka ya kuthibitisha kuwa hakukuwa na tishio la amani! Kuna vigezo vingi vya kupanga ratiba nadhani. Haiwezekani tu tunaishi bila utaratibu na kinyume na maadili tuliyosaini wenyewe!
Hapo ni "nongwa" ipi ilikuwa inatafutwa na Lissu.Uzuri, imeishajulikana kuwa Lissu na wenzake wanatafuta nongwa!
Kila mtu kasoro watawala analalamika kuwa cdm wamekuwa wapole sana, ndio maana wanafanyiwa ukatili kwa maagizo ya rais na wapambe wake.Chadema ni watu wa vurugu na uongo.
Kila mtu kasoro watawala analalamika kuwa cdm wamekuwa wapole sana, ndio maana wanafanyiwa ukatili kwa maagizo ya rais na wapambe wake.
Haikihusu,anakula kwako?hivi unafanya kazi saa ngapi ya kujipatia kipato?
Upo bia ya ngapi mda huuChadema ni watu wa vurugu na uongo
Wakiendelea hivi vyombo vya usalama havitawavumilia
Haiwezekani kikundi cha watu wachache waliotumwa na Mabeberu waharibu amani ya Nchi yetu
Fuateni Sheria Acheni Kukurupuka kama Hamjui mpangilio Wa Taratibuvza Kampeni..sasa wananchi walikuwepo tayari uwanjani.
..na hakukuwa na tishio lolote la kuleta vurugu au kuvunja amani.
..kwanini wananchi wasio na hatia yoyote washambuliwe na Polisi?
Muda ambao mkutano unakaribia kuisha NEC bado hawajaanza kikao cha kuijibu barua! NEC ni collaborator wa CCM.Dar es Salaam, polisi jana Ijumaa Oktoba 23, 2020 walilazimika kutumia mabomu ya machozi kuzuia mkutano wa kampeni wa mgombea urais kupitia Chadema, Tundu Lissu mjini Somanga, Kilwa kwa maelezo kuwa mkutano huo haukuwa halali...
😂😂😂😂Shida yangu hela
Wewe Sasa ndio unalaanika kwa niaba yao..mmeangukia pua tayari mmebaki na sera zenu hizo za hovyohovyoNEC imelaanika Kwa matendo yenu maovu
Fuata sheria taratibu na kanuni mlizojipangia wenyewe..hata hizo nazo mfundishwe..nyie mnavichwa panzi eeh..sasa wananchi walikuwepo tayari uwanjani.
..na hakukuwa na tishio lolote la kuleta vurugu au kuvunja amani.
..kwanini wananchi wasio na hatia yoyote washambuliwe na Polisi?