AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Kutokana na ufahulu mbaya wa wanafunzi wa kidato cha 4 wa mwaka 2012, sasa mitihani hiyo kurudiwa upya na serkali itagharamia gharama zote na hii ni kwa ajili ya kuliepusha taifa aibu ambayo haijawahi tokea nchini kwa anguko la elimu.
Mods naomba msihamishe habari hii wala kunipiga ban, Mimi ni mjumbe tu na mjumbe siku zote hafi.
Mungu ibariki Tanzania.
chanzo cha habari?kutokana na ufahulu mbaya wa wanafunzi wa kidato cha 4 wa mwaka 2012, sasa mitihani hiyo kurudiwa upya na serkali itagharamia gharama zote na hii ni kwa ajili ya kuliepusha taifa aibu ambayo haijawahi tokea nchini kwa anguko la elimu.
Mods naomba msihamishe habari hii wala kunipiga ban, mimi ni mjumbe tu na mjumbe siku zote hafi.
Mungu ibariki tanzania.
Sijui kama wakirudia watafanya vizuri bila kuwepo maadalizi mazuri na ya muda wa kutosha ya kuwaandaa/kuwafundisha.Naunga mkono hoja. Kama ningekuwa napewa nafasi ya kupendekeza, kwa hakika hata mimi ningependekeza iwe hivyo, maana kwa hali hii, 2015, vyuo vikuu na VETA na vyuo vya diploma havitakuwa na wanafunzi. Kwahiyo ni bora tu kurudia mitihani. Wanafunzi watangaziwe ili warudi kwenye vituo vyao kwenda kufanya mtihani mwingine. Kuacha wanafunzi 250000 wapoteleee mtaaani hii si sawa kabisa. Lakini haya yalitakiwa yafanyike kabla ya kutoa matokeo. lilikuwa ni suala tu la kutangaza kwamba matokeo ni mabovu kwa hiyo mtihani unarudiwa.
Tatizo sio kurudia mtihani kwanza ingekuwa vizuri watueleze sababu za kwanini matokeo haya yamekuwa mabaya, maana wanaweza sema paper irudiwe halafu wakawafaulisha wengi huku wakiwa hawana uwezo kama wanavyofanya huko darasa la saba na form 2, hicho kitakuwa kitu cha hatari sana kuliko hata haya matokeo maana tutakuwa na watu wengi wenye vyeti ila wasio kuwa na uwezo, bora ilivyo sasa tunatakiwa tuangalie tufanye nini kuboresha elimu sio tu watu kufaulu sana, ila je wankuwa na uwezo sawa kulingana na kiwango cha elimu?wasituchezee hao watatupa marks nyingi wkt kichwani ni zero wakati wao wanapeleka watoto wao kwenye ichi zenye elimu bora huku kwingineNaunga mkono hoja. Kama ningekuwa napewa nafasi ya kupendekeza, kwa hakika hata mimi ningependekeza iwe hivyo, maana kwa hali hii, 2015, vyuo vikuu na VETA na vyuo vya diploma havitakuwa na wanafunzi. Kwahiyo ni bora tu kurudia mitihani. Wanafunzi watangaziwe ili warudi kwenye vituo vyao kwenda kufanya mtihani mwingine. Kuacha wanafunzi 250000 wapoteleee mtaaani hii si sawa kabisa. Lakini haya yalitakiwa yafanyike kabla ya kutoa matokeo. lilikuwa ni suala tu la kutangaza kwamba matokeo ni mabovu kwa hiyo mtihani unarudiwa.
Kitakachofanyika ni kulegeza ugumu wa mitihani. Tuta-sacrifice quality for the quantity.Sijui kama wakirudia watafanya vizuri bila kuwepo maadalizi mazuri na ya muda wa kutosha ya kuwaandaa/kuwafundisha.
You said it very well. Tuna hizo kesi za wanafunzi kufika chuo kikuu wakiwa hawajui hata kuandika essay. hilo ni tatizo na tumekuwa nalo hili kwa muda mrefu sana. Ila sasa ndiyo hivyo, inaonekana bado hakujagunduliwa mechanism ya kushughulikia hilo tatizo. Lakini kama pia tutaacha hawa wanafunzi 250000 waingie mitaani bila vyeti, itakuwa ni hatari zaidi, kama hatuwezi kuwarudisha wafanye tena mtihani basi hata tushushe passmarks. Kwa maana ya baadala ya div 4 kuanzia marks 40 ianzie 30 na ziro ianzie 20 au 10, ili angalau wale waliojaribu japo kujibu maswali kadhaa wapandishwe kidogo na kupata vyeti vya kuwapeleka hata kusomea ufundi.Tatizo sio kurudia mtihani kwanza ingekuwa vizuri watueleze sababu za kwanini matokeo haya yamekuwa mabaya, maana wanaweza sema paper irudiwe halafu wakawafaulisha wengi huku wakiwa hawana uwezo kama wanavyofanya huko darasa la saba na form 2, hicho kitakuwa kitu cha hatari sana kuliko hata haya matokeo maana tutakuwa na watu wengi wenye vyeti ila wasio kuwa na uwezo, bora ilivyo sasa tunatakiwa tuangalie tufanye nini kuboresha elimu sio tu watu kufaulu sana, ila je wankuwa na uwezo sawa kulingana na kiwango cha elimu?wasituchezee hao watatupa marks nyingi wkt kichwani ni zero wakati wao wanapeleka watoto wao kwenye ichi zenye elimu bora huku kwingine
Sijui kama wakirudia watafanya vizuri bila kuwepo maadalizi mazuri na ya muda wa kutosha ya kuwaandaa/kuwafundisha.
......apigwe BAN!