AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Kutokana na ufahulu mbaya wa wanafunzi wa kidato cha 4 wa mwaka 2012, sasa mitihani hiyo kurudiwa upya na serkali itagharamia gharama zote na hii ni kwa ajili ya kuliepusha taifa aibu ambayo haijawahi tokea nchini kwa anguko la elimu.
Mods naomba msihamishe habari hii wala kunipiga ban, Mimi ni mjumbe tu na mjumbe siku zote hafi.
Mungu ibariki Tanzania.
Mods naomba msihamishe habari hii wala kunipiga ban, Mimi ni mjumbe tu na mjumbe siku zote hafi.
Mungu ibariki Tanzania.