nami nimejaribu sana hayafungukiKwangu hayafunguki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nami nimejaribu sana hayafungukiKwangu hayafunguki
Hazifunguki ni kweliHaaa kwani yametangazwa?
Wataalam wa IT waje waseme, shida nininami nimejaribu sana hayafunguki
Bora mmeninambia nklikuwa nataka nikunge MB sasa hiviHazifunguki ni kweli
Acha tukule bata kwanza.Form iv vepeee?
Nadhani bado hawajauploadTutumie link bas mana nahangaik had jasho linanitok link haifungui
Ukiingia website ya NECTA mbona yanafunguka freshDaaah mbn haya matokeo ni kimeo hayafunguki mweny link inaofungua a2saidie
niangalizie mzumbe mkuu... tafadhariUkiingia website ya NECTA mbona yanafunguka fresh
Leta linkUkiingia website ya NECTA mbona yanafunguka fresh
Check hapa mkuuLeta link
Basi ni ubabaishaji huo, link zote hazifunguki hata website yenyewe ya necta haifunguki.Nadhani bado hawajaupload
copy na kupaste ya kifungiro hapa mkuuCheck hapa mkuu
mkuu msaaada nisaidie ya mzumbe... Kijana wangu denis naomba screenshot tafadhariCheck hapa mkuu