https://online.necta.go.tz/ftna/ftna.htmMwenye link inayofunguka atuwekee hapa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
https://online.necta.go.tz/ftna/ftna.htmMwenye link inayofunguka atuwekee hapa.
Hawapo serious kabisa. Wana utani na wananchiofcoz hawa jamaa kama vile hawapo serious.
yakifunguka yaweke hapa
Asante mkuu hii link inafunguka vizurihttps://online.necta.go.tz/ftna/ftna.htm
jaribuni kufungua hapo
Saa tisa usiku ndiyo yanafunguka. asante
https://online.necta.go.tz/ftna/ftna.htmyakifunguka yaweke hapa
Kwa device gani mkuu?Ingieni sasa yanafunguka
Sorry niangalizie S1867Asante mkuu hii link inafunguka vizuri
Ni kweli. Najaribu kufungua tangu jana ila kama unavyosema...hazifunguki.Link hazifunguki
Tangu jana najaribu kufungua link lakini ngoma inagoma, nilihisi labda nsimu yangu ina matatizo.Link hazifunguki
ngoja nijaribu maana naona yanagoma tena. nimeangalia sa tisa yalikuwa yanafunguka kirahisiRetired naomba uniangalizie ya shule zifuatazo:Butulage na Paji
NI kwelii elimu ya sasa inashukaaYa nini wakati hayana Maana. Et mwanafunzi anatakiwa kupata D ktk masomo yote ndo amefaulu.