proto cute
Senior Member
- Apr 22, 2015
- 191
- 112
Mkuu nimejaribu kudownload hiyo pdf imegoma,niasidie shule inaitwa njelelaDownload hiyo Pdf then search shuke yako unayotako.
Ukishindwa sema ni shule gani unatafta nikusaidie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimejaribu kudownload hiyo pdf imegoma,niasidie shule inaitwa njelelaDownload hiyo Pdf then search shuke yako unayotako.
Ukishindwa sema ni shule gani unatafta nikusaidie
Naomba uniangalizie shule ya DihimbaDownload hiyo Pdf then search shuke yako unayotako.
Ukishindwa sema ni shule gani unatafta nikusaidie
Mkuu nimejaribu kudownload hiyo pdf imegoma,niasidie shule inaitwa njelela
Naomba uniangalizie shule ya Dihimba
Naomba uniangalizie shule ya Dihimba
Mbona hujanimalizia majina yote
Sawa mkuu....asanteIngia www.maktabakuu.go.tz ,,,utayaona hata kwa simu ya batani
[emoji109] [emoji109] [emoji109] [emoji109]Download hiyo Pdf then search shuke yako unayotako.
Ukishindwa sema ni shule gani unatafta nikusaidie
Kaka naomba tafadhali unitumie majina yote ya dihimba secondary school
download THL kwenye google playHabar wakuu...
Naomba mwenye link ya matokeo ya kidato cha pili mwaka huu aweke hapa..... Web ya necta haifunguki toka Jana....
Ndo hapa najaribu kuituma link. Ila tatizo link hazifunguki kwahiyo tuvumiliane ntakuwa nascreenshot kidogo kidogo kiongozi.Kaka naomba tafadhali unitumie majina yote ya dihimba secondary school
https://www.necta.go.tz/results/2017/ftna/results/S3810.htmKaka naomba tafadhali unitumie majina yote ya dihimba secondary school
Mkuu [HASHTAG]#Hajto[/HASHTAG] ingia kwenye hii link itakupeleka direct shulen kwako.
we ndo mshamba ukifungua shule control +f andika jina then enterBaraza wameweka matokeo kiajabu sijawahi kuona
1. Ukijaribu ku search haikubali kwami shule ni nyingi sana
2. Hawajatoa hata option ya ku filter either kwa kutumia namba ya mtihani , jina la shule ama jina la mwanafunzi. Jana nilitumia karibia nusu saa kuitafuta shule moja
Kaka nashukuru sana tena sana,matokeo ya dogo nimeyaona kapata Two ya 20
https://www.necta.go.tz/results/2017/ftna/results/S0681.htmoya wakuu na mimi naomba matokeo ya ivumwe secondary