NECTA yatangaza matokeo ya Darasa la Saba 2019. Ufaulu waongezeka kwa asilimia 3.78

NECTA yatangaza matokeo ya Darasa la Saba 2019. Ufaulu waongezeka kwa asilimia 3.78

Unasikia bingwa, hayo matokeo hasa hiyo shule namba 1 kwa maoni yangu kuna sarakasi.
wawachukue hao watoto wote leo wawape mtihani mwingine utaona ukweli, mtihani utungwe na kufungiwa ndani pamoja na watunzi hadi siku wanapofanya watahiniwa.

Kanda ya ziwa kuna vurugu sana ya udanganyifu iwe kurudia mitihani kwa jina jingine n.k.
Acha upuuzi na zamani ilikuwaje
 
Think bigger mkuu shule zipo kanda ya ziwa je hao wanafunzi nikutoka kanda gani. Maana sijaona shule ya serikali sidhani kama ipo hapo. Hizo ni zile shule za Ze...ze...ze.
Kwani mikoa mingine hizo Shule hamna? Mbona hawajashika hizo namba? Wengi ni wenyeji Wa pale acha wivu and think big before vomiting.
 
Ushamba?? Hivi mimi na wewe nani anaweza kuwa mshamba?
Poor you
Mimi ndio naweza kuwa mshamba lakini wewe ndio wa mjini, lakini kwa kushabikia au kushadadia bus la ukabila au ukanda kama "mdada" it is obviouly u r a bongeee la mshamba licha ya jitihada zako za kujaribu kutumia "kiinglishi" ili kuonyesha kama wewe ni wa Mjini. Sawa wewe wa Mujini ??? Maana mwerevu hawezi hata kidogo kushobokea "un sustainable thing" u should understand in a big way the world is dynamic , what was correct yester-years is not correct today. Though we have to preserve some of our cultural heritage.
 
Mujini = Mjini
Boresha Kiingereza chako hicho, btw i don't argue with hatemongering
Nimeandika hivyo kwa makusudi kabisa ili kutofautisha wa mjini na Yule anayejidai wa "mujini" kama wewe ambayo to me ni bongeee la mshamba and I wonder what sort of school u went.
Na kama Hilo nililo kueleza kama wewe bado u mshamba kama nilivyokueleza basi unaweza kurejea ktk hotuba ya Mwl kama kweli ulikuwa mjini "mujini" kuhusu karne ya 21 unashadadia basi la "ukabila"
Na juu ya "kiinglishi" Changu au kiingereza Changu hujaweka hiyo sentence(s) or even a "word(s)" which I have used them incorrectly.
Na mwisho ziwezi ku- hate such a lousy person like u , u r too shallow, hence to hate u it will amount to make myself lower than u , which I can , it will make me to be unclean.
 
Mujini = Mjini
Boresha Kiingereza chako hicho, btw i don't argue with hatemongering
Nimeandika hivyo kwa makusudi kabisa ili kutofautisha wa mjini na Yule anayejidai wa "mujini" kama wewe ambayo to me ni bongeee la mshamba and I wonder what sort of school u went.
Na kama Hilo nililo kueleza kama wewe bado u mshamba kama nilivyokueleza basi unaweza kurejea ktk hotuba ya Mwl kama kweli ulikuwa mjini "mujini" kuhusu karne ya 21 unashadadia basi la "ukabila"
 
Acha upuuzi na zamani ilikuwaje
Kila mtu anajua kutukana, naweza kukutukania hadi wasio kuwepo hapa sijui utapata faida gani? Jadili bila matusi.
Zamani hali ilikuwa mbaya zaidi kanda ya ziwa kwa kukariri mitihani na kusomea vyeti vya watu wengine kinyume na sheria.

Ndio maana ulikuwa unawakuta watu wengi wamesoma na umri mkubwa sana. Watu wengi huko walikuwa wanaenda kuomba vyeti vya kuzaliwa RITA au wilayani wanapunguza umri wasistahafu wakiwa na miaka michache kazini.

Tuwe wakweli wengi waliokuwa wanafanya haya ni makabila mengi ya Mwanza, Shinyanga na Mara(kwa uchache kama Kagera).
 
Ushamba?? Hivi mimi na wewe nani anaweza kuwa mshamba?
Poor you
Wewe Bongee la mshamba unayejiita wa "mujini" unatofauti gani na wale mashabiki wa Bulgaria, au kutokana na uuuuushamba wako hata hujuwi current situation of the world? ?? Kiasi kwamba hata Rashford anauelewa mkubwa kuliko wewe.
""Not an easy situation to play in and not one which should be happening in 2019," said striker Marcus Rashford. "Proud we rose above it to take three points but this needs stamping out."
 
Hujui Kiingereza tafadhali tumia kiswahili na hata kiswahili pia kinakupa tabu uandishi wake!
Mimi mshamba naishi Hawaii wewe mjanja una nini?
Stupid na ignorant people are all over the world, hence being in hawaii does not preclude you , to be one of them .
 
Quotations nyingi nyingi ni inshara ya kutojiamini get lost hatemongering
I am trying to get u out of stupidness or ignorance , as the case may be, so at least u could help others u like u now.
Hopefully soon u will get out of where u r in that stupidness or ignorance.
 
Back
Top Bottom