NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2017. Ufaulu waongezeka kwa 7.22%

Jamaa umesoma pale
Naomba details tafadhali kama inawezekana,
Japokuwa tunapambana kupata nafasi inakuwa ngumu.
Mkuu nafasi pale zipo kibao kikubwa kuwahi watu,nimesoma pale na marafiki zangu kibao wako pale wanapiga buku
 
Haa haa haa aiseee dhaaaa
Kweli ukimwaga ugali namwaga
mboga
 
Watanikoma kwa nyimbo za Mafumbo labda wahame Mtaa. Kipele kimepata Mkunaji!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
mara nyingi wanaopenda kujisifia hakunaga kitu ww huwezi nisumbua
Nyuma ya keyboard waweza andika chochote, unaweza fikiri chochote na kuhisi chochote....

Sina muda wa kupoteza...


Moja Takatifu Katoliki la Mitume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…