Hapana bwana.Wangeweka mfumo wa majina hii ya kuweka namba kwenye matokeo siipendi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana bwana.Wangeweka mfumo wa majina hii ya kuweka namba kwenye matokeo siipendi
Jamaa umesoma paleQT center no P2517
Nisaidieni jamani
Wa serikali ya wanafunzi DARUSO.Wabunge wapi hao?!
Unafikiri hapa JF tupo level moja sawa na wewe kapukuzimekusaidia nn inawezekana huwezi kusomedha hapo
Kwetu waliweka majinaKwa wenzio
Kwa peku peku unaamisha?QT center no P2517
Nisaidieni jamani
Mkuu nafasi pale zipo kibao kikubwa kuwahi watu,nimesoma pale na marafiki zangu kibao wako pale wanapiga bukuJamaa umesoma pale
Naomba details tafadhali kama inawezekana,
Japokuwa tunapambana kupata nafasi inakuwa ngumu.
.Jamaa umesoma pale
Naomba details tafadhali kama inawezekana,
Japokuwa tunapambana kupata nafasi inakuwa ngumu.
Dah kweli mkuu, nimekosea maana hakuna form four QTmatokeo ndio yamesababisha umepanic hadi kuandika unakosea...!!!!!!!!
Haa haa haa aiseee dhaaaaKuna ' Videmu ' fulani viwili Kimoja cha Jangwani na Kingine cha Zanaki vilininyima ' Mbunye ' zao huku vikijifanya vipo busy na Masomo na mara nyingi walikuwa wakiniambia hawawezi kuchanganya Mapenzi na Elimu na ' Vimefeli ' kwa Division Four vyote. Asante NECTA na sasa kwakuwa nakaa nao jirani tu nawatafutia Nyimbo mbili moja ya Twanga Pepeta usemao ' Roho Mbaya Haijengi ' na mwingine wa Taarab wa Khadija Kopa usemao ' Kama hamna hamna tu ' na nitaipiga hadi usiku wa manane huku nikiweka Sauti ya mwisho kabisa Kudadadeki. Yaani watanikoma hakyanani!
mara nyingi wanaopenda kujisifia hakunaga kitu ww huwezi nisumbuaUnafikiri hapa JF tupo level moja sawa na wewe kapuku
Katoto naomba nije pm🙄😳😱😕😎😵
Haa haa haa aiseee dhaaaa
Kweli ukimwaga ugali namwaga
mboga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Watanikoma kwa nyimbo za Mafumbo labda wahame Mtaa. Kipele kimepata Mkunaji!
Nyuma ya keyboard waweza andika chochote, unaweza fikiri chochote na kuhisi chochote....mara nyingi wanaopenda kujisifia hakunaga kitu ww huwezi nisumbua