Ntalukwilasa
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 979
- 1,256
SUA na DUCEKuna chuo kikuu kimoja hapa Tz hakina cha haya mambo ya praivesi, hata kama umedisco utakutwa umetundikwa notisi bodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SUA na DUCEKuna chuo kikuu kimoja hapa Tz hakina cha haya mambo ya praivesi, hata kama umedisco utakutwa umetundikwa notisi bodi
Wadogo zangu,si unajua tena siku hizi ukifeli hauruhusiwi kurudia hata kama ni private school labda ku reseat kitu ambacho ni kigumu kwelikweliUnasubiria? Usiogope
mpaka Rais ateue bodi mpya ya wakurugenzi, yako tayari lakini yanasubiri mamlaka ya kutangazaNa ya CPA yatatangazwa lini?
Wayapeleke Bungeni wabunge waka approve... 😀😀😀mpaka Rais ateue bodi mpya ya wakurugenzi, yako tayari lakini yanasubiri mamlaka ya kutangaza
Ngoja tusubiri mkuuHuu ni ubabaishaji,unajuaje yako tayari?Kama unafanya kazi baraza kwa nini huna subira na usiri?Kuna sababu gani ya kusimamisha kazi za watu kwa kuleta mjadala kama huu sasa?
Ingia web site ya Necta wameweka tangazo kwamba punde mambo yatakuwa hadharaniHuu ni ubabaishaji,unajuaje yako tayari?Kama unafanya kazi baraza kwa nini huna subira na usiri?Kuna sababu gani ya kusimamisha kazi za watu kwa kuleta mjadala kama huu sasa?
kwani hawawezi kukutumia namba??kama unajua ndugu yako yupo O level lazima utajua namba yake ili umuangalizie nyie ndo wambea wenyeweInatupa taabu saana kupata matokeo ya ndugu zetu walio mbali
Privacy iwe kwa watu wazima kuanzia A Level na chuo O level na
Primary wayaanike tu.
Ingia web site ya Necta wameweka tangazo kwamba punde mambo yatakuwa hadharaniHuu ni ubabaishaji,unajuaje yako tayari?Kama unafanya kazi baraza kwa nini huna subira na usiri?Kuna sababu gani ya kusimamisha kazi za watu kwa kuleta mjadala kama huu sasa?
Ha ha ha ha Acha woga dogo inaonesha nyie ndokwani hawawezi kukutumia namba??kama unajua ndugu yako yupo O level lazima utajua namba yake ili umuangalizie nyie ndo wambea wenyewe
ndugu yangu wewe ni jf member toka 2011 mimi ni jf member toka 2012 unanikashifu kwa kuniita dogo.Ha ha ha ha Acha woga dogo inaonesha nyie ndo
mnaoweza kufa kwa hofu ya matokeo chukulia ni
jambo la kawaida tu.