NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2017. Ufaulu waongezeka kwa 7.22%

NECTA yatangaza Matokeo ya Kidato cha Nne kwa mwaka 2017. Ufaulu waongezeka kwa 7.22%

Nyuma ya keyboard waweza andika chochote, unaweza fikiri chochote na kuhisi chochote....

Sina muda wa kupoteza...


Moja Takatifu Katoliki la Mitume
sasa ww labda unafikilia ww nani hasa haya mambo ya kupigana mikwala humu tungeonana tungekimbiana
 
Kwenye Ranking shule iyenye watahiniwa 42 inamshindaje mwenye wanafunzi 135.Idada ya wanafunzi inaangaliwa kwenye kurank?Shule Fulani Fulani zinachuja wanafunzi halafu za kata zinawabeba na kuwakuza watoto wote wakiwemo na wa hali ya chini halafu tunazi rank kwa pamoja.Totally crazy
 
maelekezo kidogo mkuu.. kwa njia hiyo tunaangaliaje? maana kwa website ya necta huku naona majanga tu kitu ina load mwaka.
Ni app iko playstore inaitwa thl, unagusa tu matokeo yanakuja
 
Matokeo ya Kidato cha Nne (CSEE) na maarifa (QT) kutangazwa hivi punde.

Kwa mujibu wa baraza la Mtihani NECTA.

KUONA MATOKEO

LINK 1: BOFYA HAPA

LINK 2: BOFYA HAPA

View attachment 687457

View attachment 687447

Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Januari 30, 2018, limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) uliofanyika mwishoni mwa mwaka 2017 ambapo kiwango cha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 7.22 ikilinganisha na mwaka 2016.

Akitangaza matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk Charles Msonde ameeleza kuwa ufaulu umeongezeka kwa asilimia 7.22 huku watahiniwa 265 wakifutiwa matokeo kwa udanganyifu wakiwemo wanafunzi 136 waliofanya mtihani wa kujitegemea (Private Candidate) na 129 waliofanya mtihani wa shule (School Candidate).

“Jumla ya Watahiniwa 287,713 ambao sawa na asilimia 77.09% kwa shule za kawaida na vituo vya kujitegemea wamefaulu ambao katika ya hao wasichana wapo 143,728 sawa na asilimia 75.21% wakati wavulana wapo 143,985 sawa na asilimia 79.06%. Mwaka jana wanafunzi waliofaulu mitihani ya kidato cha nne walikuwa 277,283 ambao ni asilimia 70.09% hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 7.22,” alisema Msonde.

==========

Akitangaza matokeo leo jijini Dar es Salaam, Katibu mkuu wa baraza la mitihani Dr Charles Msonde amesema;

Katika mtihani huo kulikuwa na watahiniwa 385, 767; wasichana wakiwa ni 198,036 sawa na 51.34% huku wavulana ni 187,731 sawa na 48.66%.

Katika mtihani huo watahiniwa wa shule walikuwa 323,332 na wa kujitegemea 62,435
Watahiniwa wa shule 317,777 sawa na 98.28% ndiyo walifanikiwa kufanya hiyo mitahani.
Wahiniwa wa kujitegemea 57,173 sawa 91.57% ndio waliofanikiwa kufanya mitihani. Mtihani wa maarifa 13,775 sawa 84.62% ndio waliofanikiwa kufanya mitihani.

Dr Msnde ameongeza kuwa, watahiniwa 287,713 sawa na 77.09% wamefaulu mitihani yao ya kidato cha nne kwa mwaka 2017 huku wasichana wakiwa ni 143,728 sawa 75.21% na wavulana ni 143,975 sawa 79.06%.

Tathimini inaonyesha ufaulu wa watahiniwa wa shule mwaka 2017 umongezeka kwa 7.22% huku ufaulu wa watahiniwa wa kujitegemea mwaka 2017 ukiongezeka kwa 6.22% na ufaulu wa watahiniwa wa mtihani wa maarifa mwaka 2017 umongezeka kwa 9.63%

Watahiniwa 10 waliofanya vizuri na shule wanazotoka ni kama ifuatavyo;

1.Felison Mdee -Marian boys
2.Elizabeth Mango -Marian girls
3.Anna Benjamin Mshana - Marian girls
4.Emanuel Lameck Makoye -Ilboru
5.Lukelo Thadeo Luoga-Ilboru
6.Fuadi Padic -Feza Boys
7.Godfrey Mwakatage -Uwata
8.Baraka Mohammed -Angels
9.Lilian Moses Katabaro -Marian girls
10Everlyn Moses Mlowe -St. Fransis Mbeya

Dr Msonde amemalizia kwa kubainisha kuwa ufaulu wa jumla kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017 umeongezeka kwa 7.7%.
mudi uko wako uje ulalamike kwanini shule za katoliki ndo zinaongoza.watoto wenu vilaz.a kutwa kupiga midufu hamtaki shule mapovu tu.zanzibar kazi kula urojo tu
 
Matokeo ya Kidato cha Nne (CSEE) na maarifa (QT) kutangazwa hivi punde.

Kwa mujibu wa baraza la Mtihani NECTA.

KUONA MATOKEO

LINK 1: BOFYA HAPA

LINK 2: BOFYA HAPA

View attachment 687457

View attachment 687447

Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Januari 30, 2018, limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT) uliofanyika mwishoni mwa mwaka 2017 ambapo kiwango cha ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 7.22 ikilinganisha na mwaka 2016.

Akitangaza matokeo hayo mbele ya waandishi wa habari, Katibu Mtendaji wa Baraza hilo, Dk Charles Msonde ameeleza kuwa ufaulu umeongezeka kwa asilimia 7.22 huku watahiniwa 265 wakifutiwa matokeo kwa udanganyifu wakiwemo wanafunzi 136 waliofanya mtihani wa kujitegemea (Private Candidate) na 129 waliofanya mtihani wa shule (School Candidate).

“Jumla ya Watahiniwa 287,713 ambao sawa na asilimia 77.09% kwa shule za kawaida na vituo vya kujitegemea wamefaulu ambao katika ya hao wasichana wapo 143,728 sawa na asilimia 75.21% wakati wavulana wapo 143,985 sawa na asilimia 79.06%. Mwaka jana wanafunzi waliofaulu mitihani ya kidato cha nne walikuwa 277,283 ambao ni asilimia 70.09% hivyo ufaulu wa jumla umeongezeka kwa asilimia 7.22,” alisema Msonde.

==========

Akitangaza matokeo leo jijini Dar es Salaam, Katibu mkuu wa baraza la mitihani Dr Charles Msonde amesema;

Katika mtihani huo kulikuwa na watahiniwa 385, 767; wasichana wakiwa ni 198,036 sawa na 51.34% huku wavulana ni 187,731 sawa na 48.66%.

Katika mtihani huo watahiniwa wa shule walikuwa 323,332 na wa kujitegemea 62,435
Watahiniwa wa shule 317,777 sawa na 98.28% ndiyo walifanikiwa kufanya hiyo mitahani.
Wahiniwa wa kujitegemea 57,173 sawa 91.57% ndio waliofanikiwa kufanya mitihani. Mtihani wa maarifa 13,775 sawa 84.62% ndio waliofanikiwa kufanya mitihani.

Dr Msnde ameongeza kuwa, watahiniwa 287,713 sawa na 77.09% wamefaulu mitihani yao ya kidato cha nne kwa mwaka 2017 huku wasichana wakiwa ni 143,728 sawa 75.21% na wavulana ni 143,975 sawa 79.06%.

Tathimini inaonyesha ufaulu wa watahiniwa wa shule mwaka 2017 umongezeka kwa 7.22% huku ufaulu wa watahiniwa wa kujitegemea mwaka 2017 ukiongezeka kwa 6.22% na ufaulu wa watahiniwa wa mtihani wa maarifa mwaka 2017 umongezeka kwa 9.63%

Watahiniwa 10 waliofanya vizuri na shule wanazotoka ni kama ifuatavyo;

1.Felison Mdee -Marian boys
2.Elizabeth Mango -Marian girls
3.Anna Benjamin Mshana - Marian girls
4.Emanuel Lameck Makoye -Ilboru
5.Lukelo Thadeo Luoga-Ilboru
6.Fuadi Padic -Feza Boys
7.Godfrey Mwakatage -Uwata
8.Baraka Mohammed -Angels
9.Lilian Moses Katabaro -Marian girls
10Everlyn Moses Mlowe -St. Fransis Mbeya

Dr Msonde amemalizia kwa kubainisha kuwa ufaulu wa jumla kwa matokeo ya kidato cha nne mwaka 2017 umeongezeka kwa 7.7%.
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) na (QT) 2017 Yameshatoka. Angalia ndani ya tHL app yanafunguka faster. Jinsi ya ku-install tHL app
1.Kwa simu Online version Nenda play store/window store SERACH tHL kisha install. tHL 2.0 Revised edition - Android Apps on Google Play 2. Kwa computer download hapa tHL app ina Scholarships, Notes form I - VI na Ukurasa wa Jamii wenye makala zinazoeleza namna ya kuachana na Msongo wa mawazo na maelezo ya kuinstall kwenye computer haya hapa instructions .
 
maelekezo kidogo mkuu.. kwa njia hiyo tunaangaliaje? maana kwa website ya necta huku naona majanga tu kitu ina load mwaka.
MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) na (QT) 2017 Yameshatoka. Angalia ndani ya tHL app yanafunguka faster. Jinsi ya ku-install tHL app
1.Kwa simu Online version Nenda play store/window store SERACH tHL kisha install. tHL 2.0 Revised edition - Android Apps on Google Play 2. Kwa computer download hapa tHL app ina Scholarships, Notes form I - VI na Ukurasa wa Jamii wenye makala zinazoeleza namna ya kuachana na Msongo wa mawazo na maelezo ya kuinstall kwenye computer haya hapa instructions .
 
Back
Top Bottom