CUfaulu wa kuchaguliwa kwenda Secondary unanzia wastani wa Daraja gani D au C?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CUfaulu wa kuchaguliwa kwenda Secondary unanzia wastani wa Daraja gani D au C?
Mbona hajawa bora kitaifaHuraaaay! Naona kijana wangu kagonga "A" zote pale Anazak. Thank you Jesus! [emoji898][emoji898][emoji898][emoji898][emoji898][emoji898].
Mtafutie private mapemaaaaMSAAD JAMN KIWANGO CHA CHINI CHA UFAULU KWENDA SEKONDAR NI WASTAN WA NGAP MAANA KUNA DOGO ANA WASTANI WA C
Na singida tundu lissu aache siasa akahimize elimuTanga Tanga jamani yarabi toba...
Waulizeni wabunge wenu wapo bizeSingida yangu imenikatisha tamaa
Link ipo bize kila mtu anaangaliaMbona haifunguki kwangu nimejaribu kufungulia kwa website mbalimbali yamegoma
Musoma na Mara kiujumla hali imebadilika...10 bora kitaifa Mata haimoNaona shule yangu ya miaka hiyo imekimbiza wilaya ya musoma mjini kama kawaida yao.....
Acha upotoshajii wewe!!!Mtafutie private mapemaaaa
Huwezi kwenda mbele kwa akili ya kung'ang'ania kuchinja wanyama halafu ukawa na mipango ya maana kukufikisha mahali bora zaidiZile Shule zetu za Al- Madrasat,Muntazir ,Quiblaten mbona hazipo?
Mwenye jibu jamani atusaidie!
Naombeni jibu mie nijue moja
kweli mkuu dah kinachookoa Tanga ni advance tu,lakin o level na primary wote chengaWanajua kukata mauno tuu(Baikoko)
Na washukuru Mungu kuna shule za Kanisa kule..hata hiyo Advance ingekuwa mbindekweli mkuu dah kinachookoa Tanga ni advance tu,lakin o level na primary wote chenga
Akiwa na wastani wa c kwenda juu muandae na form 1 uyo,Samahan wakuu kujua kama MTU amefaulu au amefeli unaangalia nini au ni wastani gan unaangaliwa maana me pale naona majina tu na matokeo yao!!!
mapenzi yalianzia kwao,wao na elimu mbalimbaliTANGA wamerogwa na nani mbona kila mwaka wao ni mkia