VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,137
- 17,908
Taarifa nilizopata hivi punde zinadai kuwa NECTA imeguswa vya kutosha na tuhuma zilizoripotiwa leo kuwa matokeo ya Kidato cha Nne yamechakachuliwa.
Tuhuma hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Sekondari ya Green Acres Ndugu Julian Bujugo. Tangu saa sita mchana wa leo,NECTA imeyapitia tena matokeo hayo.
NECTA imeapa kumburuza Kortini Bwana Bujugo ikithibitika kuwa tuhuma hizo si za kweli.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar
Tuhuma hizo zimetolewa na Mkurugenzi wa Sekondari ya Green Acres Ndugu Julian Bujugo. Tangu saa sita mchana wa leo,NECTA imeyapitia tena matokeo hayo.
NECTA imeapa kumburuza Kortini Bwana Bujugo ikithibitika kuwa tuhuma hizo si za kweli.
VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar