Neema Bakari uliyetoa ushuhuda kwa Mwamposa leo, wewe ndio aina ya wanawake ambao Mungu alikusudia kuwaumba

Neema Bakari uliyetoa ushuhuda kwa Mwamposa leo, wewe ndio aina ya wanawake ambao Mungu alikusudia kuwaumba

Mnataka wote tuje kuruka chumvi na mafuta ili tushughudie, mshindwe!
 
Mazuzu mmejaa kila kona bado watu mnamuamini Mwanposa km Mtumishi wa kirioho.
 
Aisee she is the one of a kind. I have to thank God for creating such a unique specie like her.

Never on this planet. Sijawahi ona
Mkuu si umesema hapo juu (post ya 7) uliwahi kumwona mwingine 1994 kutokea huko huko Tanga!!
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kama umetazama kwenye Tv, umesikiliza kwenye redio au umehudhuria ibada ya leo at Arise and Shine utakuwa SHUHUDA wangu katika hili.

Kuna dada anaitwa NEEMA BAKARI anatokea Tanga, alikuwa mmoja kati ya waliosimama madhabahuni kutoa SHUHUDA zao.

Dada anaongea vizuri hatari. Yani anaongea mpaka unasema "yes, huyu ndio mwanamke sasa".

Aisee, yani kwa jinsi dada huyu anavyoongea hahitaji kwenda kwa mganga kumroga Mwanaume. Sauti yake na jinsi anavyo ongea ni uchawi tosha.

Aisee huyu dada angekuwa mke wangu ningempiga marufuku kuongea na watu kwa sababu kusikia anavyoongea ni sawa na kuona nyeti zake.

Her voice would have to be exclusive to me only.

Sokoni ningekuwa naenda mwenyewe ati.

She speak so so beautiful. (And please don't confuse with the like of Wema Sepetu)

U need to hear her speaking cause hakuna maelezo yanayo weza kujitosheleza namna dada huyu anavyoongea.

It is a " VERY STRONG AND POLITE COMMAND"

Hakuna mwanaume alie kamilika anaweza ku resist jinsi dada huyu anavyo ongea.

Naamini Eva wakati ana mshawishi Adam ale Tunda alikuwa anaongea kwa Sauti ya dada huyu. Simply you cannot resist

Ndugu zangu ukisikia Mwanaume kalowea Tanga usimlaumu hata kidogo.

Tanga noma sana jamani
Wanawake wa Tanga mnajua mnajua mnajua.

I love women

" Before creation women were a race of Angels living in the Heaven. When God created Adam and saw that he was lonely he decided to send those Angels from Heaven to come to earth to help us ( men ) live in this realm. Ndio maana Mungu kabla hajampa Adam Hawa alimpa kwanza Eden ambayo ilifanana na MBINGUNI kule wanawake walipo tokea so that Eve will feel at home and never get bored"

This woman one Neema Bakari is a living proof of my theory.

Her voice should be prescribed by doctors for happiness.

Baba Mwamposa Kama unakujaga huku naomba umuajiri huyo dada redioni. She is so talented and blessed Am sure a million of people will be blessed thru her voice , just the way she talks.

This is the day that the Lord has made
Thanks Lord for what I saw today

# Kesho napanda Ratco au Tasheef naenda kuweka kambi Tanga huenda nikakutana na Mwanamke anae ongea Kama huyu.

# don't confuse simaanishi lafudhi ya kitanga. NI the way anavyo ongea. Yani kama ana deka vile Lakini hadeki Yani daaah aisee we Acha TU. Achaaaa
sasa inakuwaje dada wa haiba hiyo anahudhuria "madhabahu" ya mshirikina mwamposa? Mwambie arudi Roman haraka
 
Kama umetazama kwenye Tv, umesikiliza kwenye redio au umehudhuria ibada ya leo at Arise and Shine utakuwa SHUHUDA wangu katika hili.

Kuna dada anaitwa NEEMA BAKARI anatokea Tanga, alikuwa mmoja kati ya waliosimama madhabahuni kutoa SHUHUDA zao.

Dada anaongea vizuri hatari. Yani anaongea mpaka unasema "yes, huyu ndio mwanamke sasa".

Aisee, yani kwa jinsi dada huyu anavyoongea hahitaji kwenda kwa mganga kumroga Mwanaume. Sauti yake na jinsi anavyo ongea ni uchawi tosha.

Aisee huyu dada angekuwa mke wangu ningempiga marufuku kuongea na watu kwa sababu kusikia anavyoongea ni sawa na kuona nyeti zake.

Her voice would have to be exclusive to me only.

Sokoni ningekuwa naenda mwenyewe ati.

She speak so so beautiful. (And please don't confuse with the like of Wema Sepetu)

U need to hear her speaking cause hakuna maelezo yanayo weza kujitosheleza namna dada huyu anavyoongea.

It is a " VERY STRONG AND POLITE COMMAND"

Hakuna mwanaume alie kamilika anaweza ku resist jinsi dada huyu anavyo ongea.

Naamini Eva wakati ana mshawishi Adam ale Tunda alikuwa anaongea kwa Sauti ya dada huyu. Simply you cannot resist

Ndugu zangu ukisikia Mwanaume kalowea Tanga usimlaumu hata kidogo.

Tanga noma sana jamani
Wanawake wa Tanga mnajua mnajua mnajua.

I love women

" Before creation women were a race of Angels living in the Heaven. When God created Adam and saw that he was lonely he decided to send those Angels from Heaven to come to earth to help us ( men ) live in this realm. Ndio maana Mungu kabla hajampa Adam Hawa alimpa kwanza Eden ambayo ilifanana na MBINGUNI kule wanawake walipo tokea so that Eve will feel at home and never get bored"

This woman one Neema Bakari is a living proof of my theory.

Her voice should be prescribed by doctors for happiness.

Baba Mwamposa Kama unakujaga huku naomba umuajiri huyo dada redioni. She is so talented and blessed Am sure a million of people will be blessed thru her voice , just the way she talks.

This is the day that the Lord has made
Thanks Lord for what I saw today

# Kesho napanda Ratco au Tasheef naenda kuweka kambi Tanga huenda nikakutana na Mwanamke anae ongea Kama huyu.

# don't confuse simaanishi lafudhi ya kitanga. NI the way anavyo ongea. Yani kama ana deka vile Lakini hadeki Yani daaah aisee we Acha TU. Achaaaa
Mwingine alianza hivi hivi kusifia mara kwa bint Obama, Dola ikamhifadhi kidogo, katoka sasa hivi anachotuletea humu jamvini anakijua mwenyewe
 
Umekosa mada za kuleta kwa watu wenye akili?
Kwanini usianzishe group la whatsup la wajingawajinga wenzako ndio muongee huu ujinga huko?
pambaf!
 
Kama umetazama kwenye Tv, umesikiliza kwenye redio au umehudhuria ibada ya leo at Arise and Shine utakuwa SHUHUDA wangu katika hili.

Kuna dada anaitwa NEEMA BAKARI anatokea Tanga, alikuwa mmoja kati ya waliosimama madhabahuni kutoa SHUHUDA zao.

Dada anaongea vizuri hatari. Yani anaongea mpaka unasema "yes, huyu ndio mwanamke sasa".

Aisee, yani kwa jinsi dada huyu anavyoongea hahitaji kwenda kwa mganga kumroga Mwanaume. Sauti yake na jinsi anavyo ongea ni uchawi tosha.

Aisee huyu dada angekuwa mke wangu ningempiga marufuku kuongea na watu kwa sababu kusikia anavyoongea ni sawa na kuona nyeti zake.

Her voice would have to be exclusive to me only.

Sokoni ningekuwa naenda mwenyewe ati.

She speak so so beautiful. (And please don't confuse with the like of Wema Sepetu)

U need to hear her speaking cause hakuna maelezo yanayo weza kujitosheleza namna dada huyu anavyoongea.

It is a " VERY STRONG AND POLITE COMMAND"

Hakuna mwanaume alie kamilika anaweza ku resist jinsi dada huyu anavyo ongea.

Naamini Eva wakati ana mshawishi Adam ale Tunda alikuwa anaongea kwa Sauti ya dada huyu. Simply you cannot resist

Ndugu zangu ukisikia Mwanaume kalowea Tanga usimlaumu hata kidogo.

Tanga noma sana jamani
Wanawake wa Tanga mnajua mnajua mnajua.

I love women

" Before creation women were a race of Angels living in the Heaven. When God created Adam and saw that he was lonely he decided to send those Angels from Heaven to come to earth to help us ( men ) live in this realm. Ndio maana Mungu kabla hajampa Adam Hawa alimpa kwanza Eden ambayo ilifanana na MBINGUNI kule wanawake walipo tokea so that Eve will feel at home and never get bored"

This woman one Neema Bakari is a living proof of my theory.

Her voice should be prescribed by doctors for happiness.

Baba Mwamposa Kama unakujaga huku naomba umuajiri huyo dada redioni. She is so talented and blessed Am sure a million of people will be blessed thru her voice , just the way she talks.

This is the day that the Lord has made
Thanks Lord for what I saw today

# Kesho napanda Ratco au Tasheef naenda kuweka kambi Tanga huenda nikakutana na Mwanamke anae ongea Kama huyu.

# don't confuse simaanishi lafudhi ya kitanga. NI the way anavyo ongea. Yani kama ana deka vile Lakini hadeki Yani daaah aisee we Acha TU. Achaaaa

Mkuu Vipi kuhusu maneno aliyongea yalikuingia au ni style tuu ya uongeaji na sauti basi?
 
...a.k.a mafuta ya kifo
Kafara tupu,unaweza kuwa kiongozi wa dini watu wamekufa kwenye ibada yako halafu unakimbia? Au ndo alikuwa anawahisha damu kwenye chumba chake cha makafara,upuuzi sana huu kujificha kwenye imani
 
Ukienda Tanga hutampata.Mwamposa huwapandikiza watu na kuwapa pesa watoe ushuhuda wa uongo.Jiulize ni NDUGU YAKO AU JIRANI YAKO AU MTU YEYOTE UNAYEMFAHAMU ametendewa muujiza na mchungaji.
Kama yupo twende tukamuhoji ma wanao mfahamu pia
 
Back
Top Bottom