NEEMA KUU: Bwawa la Nyerere kuzalisha umeme wenye thamani sawa na 50% ya makusanyo ya TRA nchi nzima, (Trillion 12 kwa mwaka)

Na hiyo bei ni kwa viwandani.
 
Mkuu umesahau kitu kinaitwa power loss (upotevu wa umeme njiani) wakati wa kuusafirisha kutoka hapo Nyerere dam kwenda Kwa watumiaji.
 
 
Hio megawatt 2100 inazalishwa kwa mda gani?Kule juu umesema 1 KWh isije kuwa hio megawatt 2100 ni megawattyear 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Hio megawatt 2100 inazalishwa kwa mda gani?Kule juu umesema 1 KWh isije kuwa hio megawatt 2100 ni megawattyear 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
MW2100 ni rate ya uzalishaji, ukiiwasha kwa sekunde, dakika, au mwaka mzima ni wewe..
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…