Neema zinazidi kunikimbilia, leo nimepata zaidi ya Tsh. 15m baada ya kuuza mpunga wangu

Neema zinazidi kunikimbilia, leo nimepata zaidi ya Tsh. 15m baada ya kuuza mpunga wangu

 
Haija
Lishi we fukua tu mkuu
 
MKUU mimi nipo hapa kwa wauza matunda karibu na supermarket ya godenbecca nakula matunda hapa bija kwahiyo nikupandie kwa juu au upo kwa chini mkuu tuambizane
 
Haija
Lishi we fukua tu mkuu
Poa, wewe ni mwanamke au mwanaume? Vipi ulipata mume?
Screenshot_20231108-202745.jpg
vp wife wako alifika salama kondoa?
Screenshot_20231108-202714.jpg
 
Nipo kariby
MKUU mimi nipo hapa kwa wauza matunda karibu na supermarket ya godenbecca nakula matunda hapa bija kwahiyo nikupandie kwa juu au upo kwa chini mkuu tuambizane
u na kaunta nimevaa tshirt nyeupe mkkuu
 
Agiza na kitimoto kilo NNE najiandaa nakuja hapo bijampora na Bebe!!
 
Hakika riziki haupigi hodi kabisa, inakuja mbio mbio kabisa ila hii inakuja ukiwa na jitihada haiji tu eti upo zenu maskani kwenye kijiwe cha bangi unategemea utapa riziki? Hilo sahau kabisa aisee,nyie endeleeni tu kuvuta bangi na kupiga majungu, chuki na kuwasema vibaya waliofanikiwa

Nikuambie kitu pesa ipo kwenye kilimo naendelea kuwasanua ila kama kawaida mkiendelea na majungu mtajua wenyewe baada ya kupambana kununua mazao na kulima zao la mpunga nikaenda kupeleka sokoni kwa maana Kahama nikiwa na gunia zangu 167 za mpunga, basi bwana nikapeleka kahama na kila gunia nikauza 90,000 sikutaka kuuza kwa kilo niliona nitachelewa kwa sababu shambani nimeacha mahindi yangu, choroko, kunde na mengineyo.

Nikafika zangu pale Kagongwa Kahama kwenye maghala ya mpunga ile kufika tu nikakuta na tajiri mmoja mnyarwanda tukahesabu magunia na akaangalia sample na akaridhika nazo akanikatia cash zaidi ya milioni 15 zangu nikachomoka, hapa nilipo nipo miguu juu bijampora nakula bia.

Wenyeji wa Kahama karibu hapa bar ya Bijampora naangalia mechi huku nashushia bia na mtoto wa kinyarwanda karibuni.

Kilimo kinalipa vijana, acheni majungu tokeni maskani huko mkapambane! 😀😀😀😀
Dah umaskini mbaya sana. Yani million 15 tu ndo inafanya marinda yako kulia mbwata? Only 15 million madaf equivalent to 7000 USD. Yani nyie 99% mna shida na mnakera sana.
 
Watu hawataki kumuamini kabisa mpambanaji wamebaki kuamini ni uongo, haijalishi anadanganya au lahasha mpambane vijana acheni kukaa kisolo[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] mnatia aibu ndiyo maana mnaachwa na mademu zenu
 
Hakika riziki haupigi hodi kabisa, inakuja mbio mbio kabisa ila hii inakuja ukiwa na jitihada haiji tu eti upo zenu maskani kwenye kijiwe cha bangi unategemea utapa riziki? Hilo sahau kabisa aisee,nyie endeleeni tu kuvuta bangi na kupiga majungu, chuki na kuwasema vibaya waliofanikiwa

Nikuambie kitu pesa ipo kwenye kilimo naendelea kuwasanua ila kama kawaida mkiendelea na majungu mtajua wenyewe baada ya kupambana kununua mazao na kulima zao la mpunga nikaenda kupeleka sokoni kwa maana Kahama nikiwa na gunia zangu 167 za mpunga, basi bwana nikapeleka kahama na kila gunia nikauza 90,000 sikutaka kuuza kwa kilo niliona nitachelewa kwa sababu shambani nimeacha mahindi yangu, choroko, kunde na mengineyo.

Nikafika zangu pale Kagongwa Kahama kwenye maghala ya mpunga ile kufika tu nikakuta na tajiri mmoja mnyarwanda tukahesabu magunia na akaangalia sample na akaridhika nazo akanikatia cash zaidi ya milioni 15 zangu nikachomoka, hapa nilipo nipo miguu juu bijampora nakula bia.

Wenyeji wa Kahama karibu hapa bar ya Bijampora naangalia mechi huku nashushia bia na mtoto wa kinyarwanda karibuni.

Kilimo kinalipa vijana, acheni majungu tokeni maskani huko mkapambane! 😀😀😀😀
Kupata mil 15 haiwezi kuonyesha kama kilimo kina lipa bila ya kutoa data.

1. Hadi hizo gunia 160 unazifikisha kahama umetumia shs ngapi? Kuanzia kuandaa shamba, mbegu, kulima, palizi, kuvuna kukausha, kupaki kwenye magunia, kukodi gari, vinarua wa kubeba, kushusha etc. Hadi unapata hiyo mil 15. Je wewe umeweka kiasi gani?

2. Je umetumia muda gani kupata hiyo mil 15. ? Kuanzia kuandaa shamba hadi kuuza kwa mnyarwanda ni muda gani umetumia?
3. Chukua mil 15 toa gharama faida ni shs ngapi?

4. Chukua faida gawanya kwa miezi uliyotumia ujue faida ni shs ngapi kwa mwezi?
 
Wewe stori zako hazina hata picha za kupakua mtandaoni. Unashindwa na hilo?
Kuanzia uzi ujao ukitaka tuhamasike na maneno yako weka na picha mkuu. Huoni hata yule God love anachonga na vimbao kabisa.
 
Umeanza vizur Lakin mwisho wa siku Unawaza ngono tu eti bia na mtoto mzuri wa kinyarwanda ndio nini sasa 🚮🚮
 
🤓🤓🤓 jamii forum sihami
 
Wenye Hela Wala hawapigi makelele...

Ila matendo yao ndio yanawaonyesha wanazo...

Tafuta Hela zaidi kijana
 
Back
Top Bottom