Neema zinazidi kunikimbilia, leo nimepata zaidi ya Tsh. 15m baada ya kuuza mpunga wangu

Dah umaskini mbaya sana. Yani million 15 tu ndo inafanya marinda yako kulia mbwata? Only 15 million madaf equivalent to 7000 USD. Yani nyie 99% mna shida na mnakera sana.
Endelea kunyanyua mabox na kuolewa na mababu wa kizungu huko
 
Watu hawataki kumuamini kabisa mpambanaji wamebaki kuamini ni uongo, haijalishi anadanganya au lahasha mpambane vijana acheni kukaa kisolo[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] mnatia aibu ndiyo maana mnaachwa na mademu zenu
Vijana wengi wanaojifanya wanaishi mjini hawaamini kwamba kilimo hakilipi hasa hasa hawa wanaojiona ni wasomi wamekalia kubeba bahasha za kaki that why wasomi wengi na waajiriwa wengi ni maskini na wala.sikatai na mimi nilikuwa nawaza kama.wao
 
Unaweza ukatuwekea gharama za uzalishaji?
 
Motivesheni Spikaz siyo watu wa kuwaamini hata kidogo. Maneno mengi, vitendo hakuna.
 
Hongera sana Mkuu,Mungu akuzidishie,

Ila baada ya Mungu kukupa hiyo riziki mbona umeenda Bar kulewa na kuchukua Mwanamke badala ya kumshukuru Mungu kwa ibada na kusaidie wasiojiweza ili Mungu azidi kukubariki zaidi?
 
Huyu k.enge ana changamoto ya afya ya akili. 23/10/2023 aliacha kazi awe machinga. 26/10/2023 akaibiwa milioni 5 za kazini kwenye gari Stendi ya Magufuli akimsindikiza wife. 27/10/2023 akaleta uzi kushukuru waliomuombea apone kutoka Milembe hospital alipokuwa amelazwa. Jana siku 10 mbele kauza mahindi gunia 167 Kahama, unadhani Kuna binadamu mzima hapo au ni mtambo mmoja ambao Airtel inasoma Tigo unaleta thread kufurahisha genge!?🤣😆
 
Huu ni wivu kabisa aisee mpaka tunaitana kenge? Aisee hizi ni chuki pro max😀😀😀
 
Kuwa motivate nyie mbwa mnaokaa vijiweni kutwa kujadili simba na yanga
Ukijiona unaweza kuwa-motivate mbwa, jua na wewe ni mbwa mwenzao. By the way, JF baadhi tunatumia fake IDs na wengine majina yao halisi. Kuna unaowafahamu na usiowafahamu. Labda mbwa na hao unaowafahamu na ndo hao wanaokaa vijiweni maana unawajua walivyo. Kwa sisi usiotujua, kutuita mbwa unakosea sana..!!
 
Observation nzuri sana..!! Watu kama hawa akina Bilionaire kekeman ni waongo kupindukia..!! Yaani anajiandikia tu nyuzi zisizo na mpangilio..!!
Kwa mtiririko huu, kuna siku atakuja kutuambia amekufa na anaandika akiwa kaburini..!!
 
Ugoro sio mzuri kwa afya ya akili
 
ukiwa na hela hata kupost huku utumbooo hutakumbuka...toka magetoni ukajiteteee kijana upate mkate.
 
WEKA PICHA,MANA JF IMEINGILIWA NA WAONGO WATU WANADANGANYA MPAKA BASI..HEBU TUWEKEE PICHA YA HUYO MTOTO WA KINYARWANDA AKIWA UCHI,MANA HAMKAWII KU GOOGLE PICHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…