denoo49
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 6,113
- 6,950
habari yako ni ya kweli hata Christian Ronaldo anamshobokea mrisho ngasa, na hata mimi nilipofika ulaya kuanzia cabin crews wa kike mpaka wauza maduka ya nguo na super market wote walikuwa wananishobokea kila nikiingia kwenye maduka yao kwa tabasamu bashasha.
Ahhhaahaha mkuu umemaliza kabisa.