Nelson Mandela alihalalisha uporwaji wa Ardhi ya Afrika Kusini kwa Boers halafu anaitwa Baba wa Afrika. Afrika tumerogwa na nani?

Nelson Mandela alihalalisha uporwaji wa Ardhi ya Afrika Kusini kwa Boers halafu anaitwa Baba wa Afrika. Afrika tumerogwa na nani?

...Hujawahi kufikiwa na Point Of NO SELECTION but YOU MUST ACCEPT, kwa miaka aliyokaa Jela na maisha yakawa yanaendelea watu na watu wameshakufa wanaojua status yake ni wasio na impact unadhani kuna mabadiliko angefanya zaidi ya kungojea kifo... Alichofanya alijua uwezo wake umeishia pale, Muda utasolve.!
Huo muda ni Julius Malema.
 
Mandela anapewa promo sababu aliisamehe mizungu iliyomfunga na kuwapa uhuru wa kuendelea kuitafuna SA.

Hakuna cha ajabu kingine Mandela alifanya na kwenye jukwaa la bara la Africa ndo hajafanya kitu kabisa. Kina Nkurumah na Nyerere whom I believe is the most unsung here of Africa wameifanyia Africa makubwa zaidi kuliko Mandela.

Amandla.
Mandela org alifia gerezani huyo mnaemjua alikuwa Mandela wa mchongo ndio maana akawapa uhuru wazungu
 
Hakuna rais mpigania Uhuru mpumbavu kama Mandela. Yes you read it correctly.
Mugabe did the same. Akajirekebisha 2007. Wakamwekea vikwazo. Yule Mandela akapewa birthday London FiFa World Cup ili aendelee kuwaacha wazungu.

It will take bloodshed for black South Africans to regain their land which they lost since 1652.

After 50 yrs from now, drunkard will be urinating on Mandela's grave.
 
Hakuna rais mpigania Uhuru mpumbavu kama Mandela. Yes you read it correctly.
Mugabe did the same. Akajirekebisha 2007. Wakamwekea vikwazo. Yule Mandela akapewa birthday London FiFa World Cup ili aendelee kuwaacha wazungu.

It will take bloodshed for black South Africans to regain their land which they lost since 1652.

After 50 yrs from now, drunkard will be urinating on Mandela's grave.
Fools die for want of wisdom,

Amandla...
 
p

Binafsi yangu namuona shujaa kwa mazuri yake aliyoyafanya, hayo Mengine yalikuja baadaye, kwa nini unamuhukumu kwa kutumia alipokosea tu na sio alipofanya sahihi? na hili ndo tatizo kubwa la binadamu wanataka utende kama Malaika ndipo wakupe heshima.... Hata Nyerere Baba wa Taifa ana Mapungufu yake ila mazuri yake ni mengi zaidi na yamekuwa tija kwa taifa.
Mazuri gani hayo ndugu? Ya kuwatendea Wazungu?
 
Tuliposema Nelson alifia jela akatoka feki si mlikataa.

Sasa bado endeleeni kubisha kuwa Mandela original alifia jela
Kwa kelele za Winnie Madikizela Mandela unafikiria asingesema kwamba huyu sio really Mandela? Maana yule Mama alikuwa ni wa kukiamsha muda wote.
 
Nawasalimu kwa jina pendwa la JMT..Kazi iendelee.

Ni jambo la kushangaza eti Nelson Mandela aliyekuwa Kiongozi mpigania Uhuru wa Afrika Kusini kuitwa Baba wa Amani Afrika..

Inawezekanaje mtu aliyewasaliti watu wake kisa kutolewa jela na kusaini makubaliano ya kuhalalisha uporaji wa Ardhi ya Weusi uliofanywa na Boers eti anaitwa Shujaa na kusherekewa?

Huyu bwana alihalalisha Eneo la asilimia 80% la Ardhi ya Afrika Kusini kumilikiwa na Boers ambao ni chini ya 20% ya Watu huko Africa Kusini..

Yet mtu kama huyu eti Afrika inamuona ni shujaa,huyu ni shujaa wa Wazungu ndio wanapaswa kumfurahia..

Uhuru ni Ardhi sio bendera sasa huna Ardhi wewe si ni kijakazi tuu.? Yaani wenzake wamwage damu kwa ajili ya kupigania Ardhi ila yeye akaishia kuwapa hiyo ardhi ilimradi tuu ametolewa jela na kupewa madaraka ya kisiasa..

Ona watu wake wanavyoteseka na wamefikia mahala kuua ndugu zao wa damu kwa kupumbazwa na Wazungu wahamiaji..

Mandela hafai kabisa kuwa mfano kwa vizazi vyetu, kiongozi pekee wa kupigwa mfano hapa Afrika angalau ni Mwl.J.K Nyerere.
Birthday ya Mandela huwa ni 18/ July. Mwaka 2012 siku moja kabla ya Birthday yake, kuna anonymous youngster alimuandikia barua Nelson Mandela akimuonyesha ni namna gani amewauza au amewasaliti wananchi wa SA. Soma hapa;

 

Attachments

  • Screenshot_20220712-190958.png
    Screenshot_20220712-190958.png
    169.3 KB · Views: 8
Chriss Hani, Stive Biko and Kaisaka Seme would have disagreed with your view on the subject of Mandela giving land to whites.
Fools die - Mario Puzo
You need to brush up on your history. Did Steve Biko and Chris Hani come from the dead to accuse Mandela of giving land to Whites? Go and read the speech that Mandela gave after the assasination ( in fact murder) of Chris Hani and you will understand why he will always be respected by those who lived through those turbulent times.
Fools die for want of wisdom-the Holy Bible through Peter Tosh.

Amandla...

Nguruvi3 JokaKuu
 
Tarehe 20 Aprili 1964, akiwa na umri wa miaka 45, akiwa tayari anatumikia kifungo cha miaka 5, kilichoanza 1962, alisimama kizimbani katika kesi iliyojulikana kama kesi ya Rivonia, Mandela alikiri kuwa alikuwa mmoja wa waasisi wa Umkhoto we Sizwe na kuwa alihusika katika juhudi za ku sabotage utawala wa makaburu. Alisema hivyo akijua thika kuwa anaweza kuhumiwa kifo. Lakini aliwaambia makaburu kuwa yote tayari kufa kwa ajili ya imani yake. Akahumiwa kifungo cha maisha. Kwa miaka 18 ya kifungo hicho alipasuwa mawe, alilala kwenye sakafu na alikuwa kwenye selo isiyokuwa na choo. Na kwa muda wote huo hakutetereka katika imani yake. Mwaka 1985 Mandela alikataa ofa ya kuachiwa kutoka jela kwa sharti la kuacha shughuli za ukombozi. Alibaki jela mpaka 1990.
Alipotoka jela alikuta kuna mapambano makali kati ya ANC na Inkatha Freedom Party cha Chief Buthelezi. Mandela akamfanya Buthelezi Waziri wa Mambo ya Ndani. Na alimuachia nchi mara 22 kama acting President.
Ingawa alikuwa na uwezo wa kuendelea kuwa Rais, Mandela alikataa kugombea na mwaka 1999 akaachia urais.
Wakati viongozi wake wenzake wanakataa uwepo wa Ukimwi, Mandela alisema wazi kuwa mwanae alifariki kwa ukimwi!
Kwa kumshutumu Mandela kwa kuwauza watu wake, kunaonyesha wazi msivyoijua historia ya huo uafrika mnaojifanya kuutetea.

Amandla...
 
Tarehe 20 Aprili 1964, akiwa na umri wa miaka 45, akiwa tayari anatumikia kifungo cha miaka 5, kilichoanza 1962, alisimama kizimbani katika kesi iliyojulikana kama kesi ya Rivonia, Mandela alikiri kuwa alikuwa mmoja wa waasisi wa Umkhoto we Sizwe na kuwa alihusika katika juhudi za ku sabotage utawala wa makaburu. Alisema hivyo akijua thika kuwa anaweza kuhumiwa kifo. Lakini aliwaambia makaburu kuwa yote tayari kufa kwa ajili ya imani yake. Akahumiwa kifungo cha maisha. Kwa miaka 18 ya kifungo hicho alipasuwa mawe, alilala kwenye sakafu na alikuwa kwenye selo isiyokuwa na choo. Na kwa muda wote huo hakutetereka katika imani yake. Mwaka 1985 Mandela alikataa ofa ya kuachiwa kutoka jela kwa sharti la kuacha shughuli za ukombozi. Alibaki jela mpaka 1990.
Alipotoka jela alikuta kuna mapambano makali kati ya ANC na Inkatha Freedom Party cha Chief Buthelezi. Mandela akamfanya Buthelezi Waziri wa Mambo ya Ndani. Na alimuachia nchi mara 22 kama acting President.
Ingawa alikuwa na uwezo wa kuendelea kuwa Rais, Mandela alikataa kugombea na mwaka 1999 akaachia urais.
Wakati viongozi wake wenzake wanakataa uwepo wa Ukimwi, Mandela alisema wazi kuwa mwanae alifariki kwa ukimwi!
Kwa kumshutumu Mandela kwa kuwauza watu wake, kunaonyesha wazi msivyoijua historia ya huo uafrika mnaojifanya kuutetea.

Amandla...
Ilikuaje akawauza wenzio from all such sufferings?

Narudia tena kuna waliokufa kwa ajili ya harakati ,kwa nini auze Nchi Ili tuu atoke jela?
 
Back
Top Bottom