SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Kenge mamako. Naona umeshindwa hoja sasa,wewe umeandika Rhodesia kama ni mtihani umeshashindwa,bwege wewe.Namaanisha Northern Rhodesia yaani Zambia na Malawi ya Sasa na sio Southern Rhodesia ya Zimbabwe wewe kenge..
Mugabe na Mandela wote ni wapumbavu
Uko Sahihi mkuu,ni ngumu kuamini kwamba yule aliyepigania ardhi ya watu wake ndio aliwapa wazungu kwa mikataba ambayo hadi leo hii hakuna anaeweza kuthibitu kubadilisha.
Waliondoka kwa kutaka au kwa kufurushwa?Hayo mataifa yana historia tofauti za utawala.
Walowezi wa Kireno waliondoka kwenye makoloni yao baada ya Uhuru ila huko S.Africa na Zimbabwe hali ilikuwa tofauti.
Hakuna rais mpigania Uhuru mpumbavu kama Mandela. Yes you read it correctly.
Mugabe did the same. Akajirekebisha 2007. Wakamwekea vikwazo. Yule Mandela akapewa birthday London FiFa World Cup ili aendelee kuwaacha wazungu.
It will take bloodshed for black South Africans to regain their land which they lost since 1652.
After 50 yrs from now, drunkard will be urinating on Mandela's grave.
Mwalimu Nyerere ndie Mwanaume kabisa, kabisa.
Amewarithisha watanzania urithi wa Dunia
Bila yeye mwenyewe kujilimbikizia chochote
Ulale kwa amani Nyerere.
Birthday ya Mandela huwa ni 18/ July. Mwaka 2012 siku moja kabla ya Birthday yake, kuna anonymous youngster alimuandikia barua Nelson Mandela akimuonyesha ni namna gani amewauza au amewasaliti wananchi wa SA. Soma hapa;
How Mandela sold out blacks | News24
When you were negotiating with the Nationalists you choose to separate political and economic power. That was your biggest mistake and betrayal to black people.www.news24.com
Wanabisha kwamba ^alifia jela,^ ama wanabisha kwamba ^hakufia jela^? Mbona hii michanganyo haikomi? Shida nini? Au kwa vile gharama za maisha zimepanda kutoka na dai kwamba ^sirikali^ inapambana athari za vita viwili--Ukraine vs Russia & Uviko-19?endeleeni kubisha kuwa Mandela original alifia jela
Walowezi walipoondoka na yote waliyoyaacha yalikufa pia, maana baada ya Uhuru Angola na Msumbiji ziliingia kwenye Vita vya ndani vya wenyewe kwa wenyewe.Waliondoka kwa kutaka au kwa kufurushwa?
Vita walivyokuwa wanaendesha kina Mugabe na Mandela vililenga wao kuwaweka madarakani kwa gharama ya Ardhi ya watu wao au?
Hii ndio shida ya kuwa na viongozi wapumbavu na wakabila.. Nyerere aliwazidi akili mbali Sana hao Kwa kujenga utaifa.
Ila Wana Ardhi sio manamba kama Wasouth..
Angola iko juu ya Tanzania kwa hiyo usijifariji.
Siku zote mnakimbilia matusi. "Pappet" ni kanuni ya uchumi? Na kwa nini hiyo kanuni hujaiandika kwa kiswahili?Hilo sio jina wewe punda,hio ni kanuni ya kiuchumi
Duh kwa ambavyo nimekua namkubali Mandela, mngesubiri kizazi chetu kiondoke kabla kuanza kumsema...
Nkrumah alipinduliwa kwa sababu ya udikteta wake, Nyerere katuachia Tanzania tuliyo nayo leo hii.
Maliza kusoma barua kwanza ndipo urudi na swaliNini kiliwazuia wasijikomboe kutoka huko kuuzwa??
Wataanza kuuza 20 kwa 20, unatujua vizuri kabisa.Kwa wakati ule alikuwa sahihi kwani hata angekomaa wazungu wakaacha ardhi bado wangeweza kumkwamisha kama yaliyotokea Zimbabwe.
Ila Sasa nadhani ni muda muafaka wa kuwa na mazungumzo ya kitaifa ili wazungu waachie baadhi ya ardhi wapewe weusi japo hii rangi yetu sidhani kama wataifanyia lolote.
Angalia sasa huko Angola kama kuna jipya lolote? Ni mijamaa kuendekeza ufisadi gharama za maisha zipo juu, na wenyewe wanatamani kuzamia bondeni huko wakatafute maisha.Mugabe na Mandela wote ni wapumbavu.Angola na Msumbiji kwani wao waliwezaje? Rhodesia ziliwezaje?
Acheni kutetea wapumbavu nyie.
Hizi ndio akili za Malema hizi, wakishamaliza hayo waje waanze kujutia once 1973 Zimbabwe ilikuwa something else nafikiria [emoji1221] wajiangalie vizuri katika ku handle mambo yao.Asilimia 92 ya ardhi Afrika Kusini inamilikiwa na raia wa Afrika ya Kusini. Au ulitaka waanzishe Apartheid yao ambapo mtu asie mweusi hata kama ni raia wa Afrika Kusini asiruhusiwe kumiliki ardhi? Ukifanya hivyo utakuwa una tofauti gani na Kaburu?
Amandla...
Siyo kutamani, ni kwamba kuna Waangola wengi sana wamekimbilia kutafuta maisha South Africa.Angalia sasa huko Angola kama kuna jipya lolote? Ni mijamaa kuendekeza ufisadi gharama za maisha zipo juu, na wenyewe wanatamani kuzamia bondeni huko wakatafute maisha.
Acha kudanganya watu, au usikubali kudanganywa kifara.Siku ya maridhiano kati ya Makaburu na waafrika weusi, Desmond Tutu alilia sana hakuamini maneno na msimamo wa Nelson mbele ya hadhara Ile...