Nelson Mandela alihalalisha uporwaji wa Ardhi ya Afrika Kusini kwa Boers halafu anaitwa Baba wa Afrika. Afrika tumerogwa na nani?

Nelson Mandela alihalalisha uporwaji wa Ardhi ya Afrika Kusini kwa Boers halafu anaitwa Baba wa Afrika. Afrika tumerogwa na nani?

Acha kudanganya watu, au usikubali kudanganywa kifara.

Mandela amefanya vikao vingi na De clack tangu akiwa jela anachukuliwa kwa siri kwa Hellicopta na kupelekwa ikulu baada ya kikao anarudishwa gerezani Pose moore, achana na Roben Island.

Mandela angeachiwa huru siku nyingi tu ila wapumbavu kama wewe hamjui chochote kwa nini Mandela alikaa jela muda wote huo.

Mjinga anaponyamaza uhesabiwa hekima, tupe ushahidi wa ni wapi na lini Desmond Tutu alilia?

Tueleze huyu Desmond Tutu ni kwa nini yeye ndio aliteuliwa na Mandela kuongoza tume ya Truth and reconciliation commission? Na kwa nini hakukataa? Una uelewa wowote wa neno reconciliation?

Mungu alifanya jambo kubwa sana kuwanyima Watanzania wa kawaida uwezo wa kuandika lugha ya kingereza otherwise mngekuwa sumu sana, kutoka kuwagombanisha Konde boy na Diamond mngefikia mpaka level za kugombanisha nchi nyingine.
Hivyo vikao ndio vikafikia kuhalalisha ardhi waliyoporwa wazungu sio? 😆😆😆😆..

Aliambiwa aache harakati aachiwe akagoma,alivyogoma wakampa option ya kuwa Rais ila ardhi kwa wazungu akakubali sasa hapo Cha maana kipi alifanya?

Saizi Wakitaka Ardhi wainunue kwa fedha za umma ndio waigawe kwa wahitaji na Hadi sasa wameweza 20% only out of 80% ya total land,huu si ni wehu?

Angefanya Julius hili ingekuaje?
 
Hizi ndio akili za Malema hizi, wakishamaliza hayo waje waanze kujutia once 1973 Zimbabwe ilikuwa something else nafikiria [emoji1221] wajiangalie vizuri katika ku handle mambo yao.
Malema ni mpuuzi. Ni populist na mambo yakiharibika ( na yataharibika) atawageukia hao hao anaojifanya anawapigania.

Amandla...
 
Sababu mojawapo ya Winnie Mandela kukorofishana na Mandela ni kubadilika kwa msimamo wa huyo mwamba. Baada ya kutoka jela alikuta wanaharakati wenzake wakiongozwa na Winnie walishafikia next level ya kudai uhuru, waliamua hadi kutumia silaha kudai uhuru na sio njia ya diplomasia Mandela aliwakatalia kabisa na kukomalia njia ya upole.

Nadhani jamaa kuna makubaliano aliingia na boers ili waendelee kuishi kwa amani RSA. Ungekuwa uhuru wa kupambana wazungu wasingekuwa na mali hizo hadi leo, walistahili kutaifishwa mizigo yote ikiwemo ardhi maana walijimilikisha wakati wa serikali ya kibaguzi.
 
Sababu mojawapo ya Winnie Mandela kukorofishana na Mandela ni kubadilika kwa msimamo wa huyo mwamba. Baada ya kutoka jela alikuta wanaharakati wenzake wakiongozwa na Winnie walishafikia next level ya kudai uhuru, waliamua hadi kutumia silaha kudai uhuru na sio njia ya diplomasia Mandela aliwakatalia kabisa na kukomalia njia ya upole.

Nadhani jamaa kuna makubaliano aliingia na boers ili waendelee kuishi kwa amani RSA. Ungekuwa uhuru wa kupambana wazungu wasingekuwa na mali hizo hadi leo, walistahili kutaifishwa mizigo yote ikiwemo ardhi maana walijimilikisha wakati wa serikali ya kibaguzi.
Wakati mwingine busara na hekima vitawale, wa South wanajeuri ya shibe ndugu yangu, Zimbabwe ile pale wamechukua kila kitu yako wapi sasa?
 
Hivyo vikao ndio vikafikia kuhalalisha ardhi waliyoporwa wazungu sio? 😆😆😆😆..

Aliambiwa aache harakati aachiwe akagoma,alivyogoma wakampa option ya kuwa Rais ila ardhi kwa wazungu akakubali sasa hapo Cha maana kipi alifanya?

Saizi Wakitaka Ardhi wainunue kwa fedha za umma ndio waigawe kwa wahitaji na Hadi sasa wameweza 20% only out of 80% ya total land,huu si ni wehu?

Angefanya Julius hili ingekuaje?
achana naye huyo hakijui anachokibwabwaja🤣🤣🤣🤣
 
Tarehe 20 Aprili 1964, akiwa na umri wa miaka 45, akiwa tayari anatumikia kifungo cha miaka 5, kilichoanza 1962, alisimama kizimbani katika kesi iliyojulikana kama kesi ya Rivonia, Mandela alikiri kuwa alikuwa mmoja wa waasisi wa Umkhoto we Sizwe na kuwa alihusika katika juhudi za ku sabotage utawala wa makaburu. Alisema hivyo akijua thika kuwa anaweza kuhumiwa kifo. Lakini aliwaambia makaburu kuwa yote tayari kufa kwa ajili ya imani yake. Akahumiwa kifungo cha maisha. Kwa miaka 18 ya kifungo hicho alipasuwa mawe, alilala kwenye sakafu na alikuwa kwenye selo isiyokuwa na choo. Na kwa muda wote huo hakutetereka katika imani yake. Mwaka 1985 Mandela alikataa ofa ya kuachiwa kutoka jela kwa sharti la kuacha shughuli za ukombozi. Alibaki jela mpaka 1990.
Alipotoka jela alikuta kuna mapambano makali kati ya ANC na Inkatha Freedom Party cha Chief Buthelezi. Mandela akamfanya Buthelezi Waziri wa Mambo ya Ndani. Na alimuachia nchi mara 22 kama acting President.
Ingawa alikuwa na uwezo wa kuendelea kuwa Rais, Mandela alikataa kugombea na mwaka 1999 akaachia urais.
Wakati viongozi wake wenzake wanakataa uwepo wa Ukimwi, Mandela alisema wazi kuwa mwanae alifariki kwa ukimwi!
Kwa kumshutumu Mandela kwa kuwauza watu wake, kunaonyesha wazi msivyoijua historia ya huo uafrika mnaojifanya kuutetea.

Amandla...
I'm saddened with this level of historical thinking you bluff to portray. For this, Africa will in deed, be recolonized in 20-25 years to come. PLO Lumumba said it better.
 
Too harsh...

Miaka 27 gerezani sio kitu kidogo, isitoshe baada yake wamepita marais weusi kama 3, kwanini hawajapigania hiyo ardhi?.....ilikuwa lazima kazi zote azifanye peke yake ?

Kwanini yeye ndiye awe wakubeba lawama ?
Mkuu,
Rais au kiongozi mkubwa wa kwanza ktk nchi ana set precedent nyingi kwa kutoa dira katika maamuzi makubwa ya nchi.

Angalia Uganda, Zambia, Tanzania, Kenya USA na nyinginezo. Mengi ni muendelezo au shaping na reshaping of the early foundations za viongozi wa kwanza. Na kwa hapo, Mandela alikosea. Truth be said. His rainbow state speech brought more harm than good the blacks.
 
Sasa mbona Wazimbabwe tangu enzi za Mugabe mpaka leo wanakimbilia na wamefurika bondeni kwa Madiba??
Soma hayo maelezo. Yanajitosheleza kujibu swali ulilouliza. Mandela na Sankara I choose the latter
 
Acha upuuzi wako wewe mbilikimo wa akili..

Harakati za kudai ukombozi huko South Afrika zilikuwa ni za kumtoa jela Mandela kwa gharama ya damu na ardhi ya watu wake?

Angola,Msumbiji na Nchi zingine zilidai haki yao ya Ardhi badala ya uhuru wa bendera kama wa South Africa na Zimbabwe..

Zimbabwe imefeli kwa sababu hawakudai haki sawia wakati Mugabe anapewa uhuru wa bendera kama Mandela ,so walivyokuja kunyakua kwa nguvu ndio wameharibikiwa ila wangenyakua from bugging wala wasingekuwepo walipo sasa.

Mtu mweusi yupo kwa ajili kuendeshwa tu, ukimpa madaraka kamili anaigeuza nchi kuwa shamba lenye ukame. Kubalini ukweli tu, SA inaendelea kusavaiv kiuchumi kwa sababu uwepo wa wazungu kwenye mfomo.
 
I'm saddened with this level of historical thinking you bluff to portray. For this, Africa will in deed, be recolonized in 20-25 years to come. PLO Lumumba said it better.
Gibberish. Absolute gibberish. "You bluff to portray "maana yake nini? Kwa nini mnaipenda hiyo lugha ambayo hamuijui?

Amandla....
 
Mkuu,
Rais au kiongozi mkubwa wa kwanza ktk nchi ana set precedent nyingi kwa kutoa dira katika maamuzi makubwa ya nchi.

Angalia Uganda, Zambia, Tanzania, Kenya USA na nyinginezo. Mengi ni muendelezo au shaping na reshaping of the early foundations za viongozi wa kwanza. Na kwa hapo, Mandela alikosea. Truth be said. His rainbow state speech brought more harm than good the blacks.
Ni "Truth be told". Sio "truth be said". Rainbow state speech? More harm than good the blacks?
Lord have mercy.

Amandla...
 
PLO Lumumba is a scam.
I'm saddened with this level of historical thinking you bluff to portray. For this, Africa will in deed, be recolonized in 20-25 years to come. PLO Lumumba said it better.
 
Gibberish. Absolute gibberish. "You bluff to portray "maana yake nini? Kwa nini mnaipenda hiyo lugha ambayo hamuijui?

Amandla....
I see, so you know what I meant to write hahaaaa....take it easy son. Kama imekosewa sahihisha, acha kupapatuka.
 
Kiingereza kibovu ni kibovu tu. No excuses maana haujalazimishwa kukitumia. Au unatumia Google translate?

Amandla...
Oya we acha kutafuta kiki za kitoto. Nilivyosema umekariri namaanisha umekariri hiyo phrase. Hapo hakuna kosa la kisarufi, muundo wala maana. Achana na hii mambo. Tuendelee kujadili ni kwanini kila jamii ya wazungu hao unaowapenda kwa nini kila wakifanya interaction na jamii nyingine hasa weusi. Hao weusi huishia ulevi, kukosa ardhi, kuwa watumwa na kutawaliwa kwa njia mbalimbali. Kama ilivyo kwa South Africa
 
Oya we acha kutafuta kiki za kitoto. Nilivyosema umekariri namaanisha umekariri hiyo phrase. Hapo hakuna kosa la kisarufi, muundo wala maana. Achana na hii mambo. Tuendelee kujadili ni kwanini kila jamii ya wazungu hao unaowapenda kwa nini kila wakifanya interaction na jamii nyingine hasa weusi. Hao weusi huishia ulevi, kukosa ardhi, kuwa watumwa na kutawaliwa kwa njia mbalimbali. Kama ilivyo kwa South Africa
Hauwezi kuona kosa maana ndivyo ulivyo fundishwa. Bakia huku huku kwenye lugha unayoiweza. Hata huko matumizi ya "full stop, comma n.k." ni mtihani.

Amandla...
 
Nawasalimu kwa jina pendwa la JMT..Kazi iendelee.

Ni jambo la kushangaza eti Nelson Mandela aliyekuwa Kiongozi mpigania Uhuru wa Afrika Kusini kuitwa Baba wa Amani Afrika..

Inawezekanaje mtu aliyewasaliti watu wake kisa kutolewa jela na kusaini makubaliano ya kuhalalisha uporaji wa Ardhi ya Weusi uliofanywa na Boers eti anaitwa Shujaa na kusherekewa?

Huyu bwana alihalalisha Eneo la asilimia 80% la Ardhi ya Afrika Kusini kumilikiwa na Boers ambao ni chini ya 20% ya Watu huko Africa Kusini..

Yet mtu kama huyu eti Afrika inamuona ni shujaa,huyu ni shujaa wa Wazungu ndio wanapaswa kumfurahia.

Uhuru ni Ardhi sio bendera sasa huna Ardhi wewe si ni kijakazi tuu.? Yaani wenzake wamwage damu kwa ajili ya kupigania Ardhi ila yeye akaishia kuwapa hiyo ardhi ilimradi tuu ametolewa jela na kupewa madaraka ya kisiasa..

Ona watu wake wanavyoteseka na wamefikia mahala kuua ndugu zao wa damu kwa kupumbazwa na Wazungu wahamiaji..

Mandela hafai kabisa kuwa mfano kwa vizazi vyetu, kiongozi pekee wa kupigwa mfano hapa Afrika angalau ni Mwl.J.K Nyerere.

--
Nelson Mandela sold out black South Africans. Now there's a sentence you won't have heard in the days since his death and that you won't be hearing at his memorial tomorrow. Yet it's incontrovertibly true that after centuries of being robbed of possibly the greatest mineral wealth the world has ever known, not to mention decades of being repressed by apartheid, black South Africans got almost no compensation for what should rightfully have been theirs when the old regime was swept away for the new South Africa.

Indeed, the basic deal Mandela struck from prison with F.W. de Klerk, and which was subsequently enshrined in the South African constitution, essentially guaranteed the existing property rights of white South Africans in exchange for an end to apartheid.


For whites, the deal made sense. Apartheid could not be maintained forever against international pressure and internal resistance. The odds of holding onto the material benefits of the oppressive traditional system were much higher with black African enfranchisement than without it. A successful revolution would lead to the dispossession of whites, just as it had in almost every other corner of formerly colonial sub-Saharan Africa. What Mandela was promising was more than half a loaf. It was a whole loaf of wealth with a proportionately small loaf of political power.

For black South Africans, especially supporters of the African National Congress who had idolized Mandela during his 27-year imprisonment, the choice was much harder. What they were giving up was nothing less than their material patrimony. Over many generations, blacks in South Africa might build businesses and earn money, and a slice of leadership might emerge as a political-business elite entitled to a share of the country's national wealth. But for most black South Africans, there would be no major opportunity to change the economic conditions of their lives in the foreseeable future. Wealth would remain with their former oppressors.

On the positive side, if black South Africans could accept the deal Mandela had struck, the country might avoid the flight of whites -- and with them white capital -- that had happened in other countries on the continent. In the aftermath of morally justified redistribution of wealth, many sub-Saharan countries had found themselves poorer, not richer. It was a gamble for the poorest South Africans to bet that forgoing their just rights might actually leave them slightly better off in the long run; but it was a gamble arguably worth taking.

A further potential upside of the deal was harder to articulate publicly. Many post-colonial African countries had evolved from colonialism to proud independence to patrimonial, despotic dictatorship in just a generation. Perhaps the continued presence of white South Africans in positions of economic importance would create an incentive for the ANC leadership to govern democratically. No credible democratic political opposition to the party that fought for and achieved freedom was going to exist for a long while. To keep the government honest, then, a different threat was needed: The threat of flight by white capital should the ANC subvert democratic practices and values might actually help the country going forward.

The black South African public may not have realized, in the first flush of pride in their freed leader and his global prestige, exactly what deal they were implicitly taking. But the constitutional process, admirably accomplished over several years in full public view, made the deal more or less transparent. For the most part, black South Africans voted to take the deal. They were, in essence, validating Mandela's promises to de Klerk and white South Africa. The rhetoric of brotherhood and nonvengeance -- exemplified, for example, in Mandela's embrace of the Springboks national rugby team -- was the cultural counterpart to the promise of continued coexistence under white economic dominance.

Opinion. Data. More Data.Opinion. Data. More Data.Opinion. Data. More Data.
Get the most important Bloomberg Opinion pieces in one email.Get the most important Bloomberg Opinion pieces in one email.Get the most important Bloomberg Opinion pieces in one email.
Was Mandela right to sacrifice justice for the chance of a richer and more democratic South Africa? The question of his heroic status depends on the answer. Looking at the career of Yasser Arafat, who consistently made a different choice, inclines one to think that the answer is yes. A politician shouldn't act on what is absolutely fair, but what is pragmatically most likely to succeed in the real world.

Yet, as we mourn Mandela, it is also worth remembering that, like almost all constitutions, South Africa's founding pact was born in the sin of compromise. Compromise is sin because people don't get what they deserve. But that sin is necessary, because after it's committed, people are better off than they would be without it.

The international community rightly reveres Nelson Mandela as a man of peace. But he was not a saint -- and for that we should be grateful. He brought peace through his ability to convince millions of his countrymen that they should accept much less than they were in justice owed.

Source: Was Mandela Right to Sell Out Black South Africans?

Kwa kiasi kikubwa Sana Rais Nelson Mandela alikuwa yupo sahihi kabisa kufanya hivyo, anawafahamu vizuri Sana Watu weusi wenzake
Endapo kama angeruhusu utwaaji wa Ardhi hiyo inayomilikiwa na Wazungu basi matokeo yake ya utekelezaji wa Sera hiyo yangekuwa mabaya sana.

Mathalani, Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe wakati huo alipokuwa anawapokonya Ardhi raia Wazungu kwenye nchi hiyo alikuja na Sera yake iliyokuwa ikisema kwamba Mtu mmoja anapaswa amiliki shamba moja tu na wala siyo zaidi, yaani: "One Man One Farm." Lakini matokeo yake yeye mwenyewe Mugabe alijitwalia na kujigawia Mashamba mengi yapatayo 28 nchi nzima hali iliyosababisha manung'uniko katika jamii na yeye Rais kuingia kwenye migogoro mikubwa na washirika wake wa karibu Sana kama vile Mwanasheria Mkuu wa Serikali yake na Mkuu wake wa Majeshi.
 
Back
Top Bottom