Nembo ya CHADEMA digital yawavutia wengi

Nembo ya CHADEMA digital yawavutia wengi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .

Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL.

No_Hate_No_Fear_on_Instagram:_“Like_hii_picha_Kama_upo_tayari_kuwa_na_kadi_ya_Chadema_ya_Kidig...jpg
 
Kuna mambo wanaletaga bavicha humu unabaki kusikitika tu.

Hivi dada yale maandamano yenu bwacha ya kuwatoa kina mdee bungeni yaliishia wapi?
Hukumbuki kama mlinzi wao alikosa usingizi aliposikia habari hiyo ,hata akaandaa bakora nyingi za kuwatosha wote waliokuwa wakiwaza hilo.
 
Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .

Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL

View attachment 1802599
Yes. Very attractive indeed. Nevertheless, naive minded individuals will despise it.
 
Kuna mambo wanaletaga bavicha humu unabaki kusikitika tu.

Hivi dada yale maandamano yenu bwacha ya kuwatoa kina mdee bungeni yaliishia wapi?
CHADEMA Haipokei Hata Senti Moja Ya Ruzuku (Tumekataa Kupokea Ruzuku Ya Mil 140 Kwa Mwezi) Lakini Tunazindua Ujenzi Wa Ofisi Za Chama Mikoa Yote Na Sasa Tuko Kwenye Operation Ya Kuzunguka Nchi Nzima. Cha Ajabu Ni Kwamba Kuna Vyama Vinapokea Ruzuku Na Bado Havisikiki.

Tupo hivi lakini mnatuongpa kinoma. Na bado
 
Cdm kila kiki inabuma sasa wameamua kwenda magerezani, navyowajua tutegemee kuanzisha fujo ili wakamatwe waende magerezani ili wapate kiki tu kwa gharama yoyote, wako so desperate kwenye recognition, swali mbona uchaguzi hawataki kama kweli wanataka platform ya active politics, nahisi siasa washaacha wako kwenye harakati tu with no aim.
 
Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .

Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL

View attachment 1802599
Itabidi SimbA SC na YangA SC wawatumie kubuni nembo za vilabu, maana kule huwa wanaboronga.
 
CHADEMA Haipokei Hata Senti Moja Ya Ruzuku (Tumekataa Kupokea Ruzuku Ya Mil 140 Kwa Mwezi) Lakini Tunazindua Ujenzi Wa Ofisi Za Chama Mikoa Yote Na Sasa Tuko Kwenye Operation Ya Kuzunguka Nchi Nzima. Cha Ajabu Ni Kwamba Kuna Vyama Vinapokea Ruzuku Na Bado Havisikiki.

Tupo hivi lakini mnatuongpa kinoma. Na bado
Wewe ni mtoto mdogo sana pale chadema!

Ma don kina Mbowe ndio wanajua ruzuku inaenda wapi
 
Bavicha akili hamna.....sasa cha kusifia hapo kipo wapi?
Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .

Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL

View attachment 1802599
 
Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .

Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL

View attachment 1802599
Kama ya Toyota!
 
Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .

Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL

View attachment 1802599
Mkuu Sasa viongozi washushe jezi na combat,kofia n.k zenye nembo watu tuvae mpaka ccm wakome na jezi yao ya Zama za kale,
 
Back
Top Bottom