Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
Hakikaimekaa kisasa zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakikaimekaa kisasa zaidi
Hata mimi siuoni , nadhani moderator amepokea maagizo kutoka juu , tunaendelea kusisitiza KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE , kimsingi mtu anatakiwa akale alikopeleka mbogaMkuu Erythrocyte uzi wako wa Diamond Platnum umefutwa? Nautafuta siuoni.
2015 je?😂kwani 2020 alitoka wapi
Hata mimi siuoni , nadhani moderator amepokea maagizo kutoka juu , tunaendelea kusisitiza KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE , kimsingi mtu anatakiwa akale alikopeleka mboga
Yaani unalilia kumjadili mwanaume mwenzako, tena katika hali ambayo hailigusi taifa katika nyanja muhimu? Daaah..! wanaume tunazidi kupungua aiseeh 😂😂.Kitu cha kushangaza sana. Yaani huyo Diamond haturuhusiwi kumjadili humu? 😳😳😳
Maxence Melo
Msingi wa hoja unauelewa ?Yaani unalilia kumjadili mwanaume mwenzako, tena katika hali ambayo hailigusi taifa katika nyanja muhimu? Daaah..! wanaume tunazidi kupungua aiseeh 😂😂.
Simaanishi kwamba nasupport uzi wako kufutwa ila nimeshangaaMwanaume kulilia swala la kumjadili Diamond,Yeye ni nani kwenye nchi hii, mpaka ampe attention kiasi hicho?Msingi wa hoja unauelewa ?
unajua hawa vijana tunapowaambia shetani hana rafiki huwa hawaelewi , wanashirikiana na ccm ambaye ndio chanzo cha dhuluma zote za nchi hii , lakini maji yakiwafika shingoni wanakuja kwa wale wale walioteswa kuomba huruma , hatutakubaliSimaanishi kwamba nasupport uzi wako kufutwa ila nimeshangaaMwanaume kulilia swala la kumjadili Diamond,Yeye ni nani kwenye nchi hii, mpaka ampe attention kiasi hicho?
wanaubavu wa kuandamana?kelele za nyuma ya keyboard tuhao wanajambajambatuKuna mambo wanaletaga bavicha humu unabaki kusikitika tu.
Hivi dada yale maandamano yenu bwacha ya kuwatoa kina mdee bungeni yaliishia wapi?
hivi nyie nani awafuate genge la wahuniunajua hawa vijana tunapowaambia shetani hana rafiki huwa hawaelewi , wanashirikiana na ccm ambaye ndio chanzo cha dhuluma zote za nchi hii , lakini maji yakiwafika shingoni wanakuja kwa wale wale walioteswa kuomba huruma , hatutakubali
Kama vipi wampitishe Bila Kupingwa Tuzo za BETHata mimi siuoni , nadhani moderator amepokea maagizo kutoka juu , tunaendelea kusisitiza KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE , kimsingi mtu anatakiwa akale alikopeleka mboga
kama vipi Simba alite bila kupingwa BET awards. Nyie mnaonaje?wanaubavu wa kuandamana?kelele za nyuma ya keyboard tuhao wanajambajambatu
Hivi wewe hukudhubutu kushukia Kaburini ukampokea Magufuli ulivyompenda??Kuna mambo wanaletaga bavicha humu unabaki kusikitika tu.
Hivi dada yale maandamano yenu bwacha ya kuwatoa kina mdee bungeni yaliishia wapi?
Mayala nae alishasema hivyo sijui nae anajiandalia safari?Wasira alisema Chadema itakufa mwaka 2017 naona kila dalili za yeye kuondoka aiache. Yule mungu wenu tayari alishaiacha
Nimekuelewa mkuu.unajua hawa vijana tunapowaambia shetani hana rafiki huwa hawaelewi , wanashirikiana na ccm ambaye ndio chanzo cha dhuluma zote za nchi hii , lakini maji yakiwafika shingoni wanakuja kwa wale wale walioteswa kuomba huruma , hatutakubali