Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
Nawakaribisha sana utopoloItabidi SimbA SC na YangA SC wawatumie kubuni nembo za vilabu, maana kule huwa wanaboronga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawakaribisha sana utopoloItabidi SimbA SC na YangA SC wawatumie kubuni nembo za vilabu, maana kule huwa wanaboronga.
Usimwage mchele penye lundo la kukuMkuu Sasa viongozi washushe jezi na combat,kofia n.k zenye nembo watu tuvae mpaka ccm wakome na jezi yao ya Zama za kale,
CHADEMA ina watu smart sana ndo maana mwendazake kapigania kuhakikisha lina kufa badala yake kumbe ana pambana na mfupa alioushinda fisi hadi kajifia mwenyewe masikini bado chadema inasonga tu mbele kidijitali,ifike mahali watawala waelewe chedema ni ya watanzania wafanye siasa bila kubughudhiwaSijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .
Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL
View attachment 1802599
wambie ccm ndo wanatawala nchi hiiHili Taifa sijui litapumua lini maana siasa za kiuanaharakati haziishi watu tukajikita kwenye ujenzi wa Taifa,
Kila siku ni porojo tu watu hawataki kuwajibika wanawaza upigaji tu.
pilikapilika za mende utaziweze?Kuna mambo wanaletaga bavicha humu unabaki kusikitika tu.
Hivi dada yale maandamano yenu bwacha ya kuwatoa kina mdee bungeni yaliishia wapi?
Mkuu nani wana kuogopa?CHADEMA Haipokei Hata Senti Moja Ya Ruzuku (Tumekataa Kupokea Ruzuku Ya Mil 140 Kwa Mwezi) Lakini Tunazindua Ujenzi Wa Ofisi Za Chama Mikoa Yote Na Sasa Tuko Kwenye Operation Ya Kuzunguka Nchi Nzima. Cha Ajabu Ni Kwamba Kuna Vyama Vinapokea Ruzuku Na Bado Havisikiki.
Tupo hivi lakini mnatuongpa kinoma. Na bado
🤣🤣Kuna mambo wanaletaga bavicha humu unabaki kusikitika tu.
Hivi dada yale maandamano yenu bwacha ya kuwatoa kina mdee bungeni yaliishia wapi?
2025 Mgombea Urais wa CHADEMA atatoka CCM ama ACT?Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .
Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL.
View attachment 1802599
Bila Katiba Mpya na Tume huru Chadema haitashiriki uchaguzi2025 Mgombea Urais wa CHADEMA atatoka CCM ama ACT?
Nijuze hili kwanza
kwani 2020 alitoka wapi2025 Mgombea Urais wa CHADEMA atatoka CCM ama ACT?
Nijuze hili kwanza
Ni nzuri.Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .
Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL.
View attachment 1802599
Nembo ipo vyema!Sijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .
Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL.
View attachment 1802599
Jikite kwenye hoja wewe mjane. Jadili hiyo nembo wewe msukule wa matagaKuna mambo wanaletaga bavicha humu unabaki kusikitika tu.
Hivi dada yale maandamano yenu bwacha ya kuwatoa kina mdee bungeni yaliishia wapi?
imekaa kisasa zaidiSijajua hiki Chama kinatumia wabunifu gani kwenye masuala yake , bali itoshe kusema ina watu makini mno ! Unajua kitu cha kwanza kwenye jambo lolote linaloletwa kwa mara ya kwanza kwa watu kwa ajili ya kulitambulisha ni MVUTO .
Kwenye kipengere hiki CHADEMA nimewavulia kofia , hivi ninavyoandika hapa ni kwamba hili balaa la CHADEMA DIGITAL linashika nafasi ya pili kwa kutumika na watanzania , Nafasi ya kwanza bado inashikiliwa na OXYGEN ambayo kila mtu anaivuta , lakini nafasi ya pili ni CHADEMA DIGITAL.
View attachment 1802599