NEMC: Kunywa bia na kufanya sherehe na matamasha kwenye fukwe ni makosa kisheria

NEMC acheni kumchonganisha mama na wananchi wekeni utaratibu wa kuzuia plastic na chupa kwenye fukwe sio kuzuia matamasha
Uchumi hauwezinkukua vila starehe

Tena fukwe ziwe zinasafishwa kila siku ya Jumanne mpaka Alhamisi, ili watu wakienda Wikiendi pawe safi
 
Hata sura yake inaonesha hajawahi kuogelea mshamba huyo.
 
Yaani hii nchi ingepata vichwa 20 kama hiki cha kwako,nchi hii tungekua tumepiga hatua kubwa mno!
 
Weka hadharani ripoti ya mazingira kuhusu mradi wa kuzalisha umeme pale Selous Game Reserve
 
Kutengeneza bia je sio kosa kimazingira na kwa umma mpana? I was just wondering about umma mpana and what that consist of
 
Ukiwatazama usoni utadhani wanamaanisha wanachokisema, ukiwafuatilia kwa nyuma utakuta na wao wanayafanya, isitoshe wamehamia baharini huku kelele za miziki mitaani zimewashinda
 
Ninachokiona ni kwamba magari hayaegeshwi kwenye ufukwe. Hayaruhusiwi. Sababu zinaweza kuwa mbili. Kwanza, kuepusha beach erosion. Yanayoendelea hapo coco beach ni tofauti, magari yanaegeshwa karibu sana na kingo zake. Wanamazingira wananaweza kutusaidia kupata ufumbuzi. AU waturejeshe kwenye maamuzi yaliyofanyika wakati marehemu Kenja akiwa kiongozi wa jiji. Pili, kuwezesha watembea kwa miguu kuwa huru wawapo kwenye fukwe. Naamini hatua kama hizo zitasaidia zaidi katika kulinda mazingira ya fukwe na usalama wa wataotembelea fukwe hizo.
 
Sheria ya kiboya sana. Badala ya kutumia muda wao kuhakikisha kuna madampo ya kutosha ya taka taka mnahangaika na wanywa bia tamu ufukweni daaah...
 
Nimekumbuka beach zangu mbuli mojawapo ni ya nchi jirani Fernao Verosso prayol
 
Ukitaka kushusha thamani ya fukwe weka hizo sheria za uone.

Kwaiyo beach sahv ni sehemu za ibada?
 
Na hivyo unavyowaona na vinguo vyao, wanapanda hivyo hivyo kwenye basi kutoka wanapoishi mpaka huko beach.

Mimi mshamba wa kijijini nilishangaa na kutoa macho hasaaa!
 
Ninachokiona NEMC ni kujitanua mabega na kujiona wana mkono mpana.
Sheria ya Mazingira inawapa mamlaka wao kwa kushirikiana na Serikali za Mitaa kutengeneza miongozo ya kuhifadhi maeneo ya pwani au yenye vyanzo vya maji.
 
Weka hadharani ripoti ya mazingira kuhusu mradi wa kuzalisha umeme pale Selous Game Reserve
Wamiliki wa ripoti ya Mazingira ya Selous ni TANESCO siyo NEMC. TANESCO ndiyo wenye mradi na ndiyo wenye haki ya kusema iwekwe hadharani au la.
 
Huu ni uthibitisho tosha kuwa Nchii hii inaongozwa na Washamba.

Mimi nimejirusha sana Mombasa Pirate Beach kwa Vinywaji mbalimbali.

Tanzania inaangamizwa na Washamba wenye mrengo wa Kikomunisti.
 
Arrogan
Wamiliki wa ripoti ya Mazingira ya Selous ni TANESCO siyo NEMC. TANESCO ndiyo wenye mradi na ndiyo wenye haki ya kusema iwekwe hadharani au la.
I do understood you na sikulaumu kwa hilo haya ndio matokeo ya ccm kuharibu mfumo wa kielimu na tunaishia kupata middle class kama wewe,yes mradi kama ni wa TANESCO,kisheria ilitakiwa wapeleke kwanza ripoti yao kuhusu athari ya mazingira kwa mradi huu na pia hawa watu wa mazingira ilitakiwa nao wajiridhishe kuwa mazingira yataathiriwa vipi na ripoti hizi sio siri na public wana haki ya kujua;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…