NEMC: Kunywa bia na kufanya sherehe na matamasha kwenye fukwe ni makosa kisheria

NEMC: Kunywa bia na kufanya sherehe na matamasha kwenye fukwe ni makosa kisheria

Sawa

IMG-20211123-WA0027.jpg
 
Arrogan

I do understood you na sikulaumu kwa hilo haya ndio matokeo ya ccm kuharibu mfumo wa kielimu na tunaishia kupata middle class kama wewe,yes mradi kama ni wa TANESCO,kisheria ilitakiwa wapeleke kwanza ripoti yao kuhusu athari ya mazingira kwa mradi huu na pia hawa watu wa mazingira ilitakiwa nao wajiridhishe kuwa mazingira yataathiriwa vipi na ripoti hizi sio siri na public wana haki ya kujua;
Najua elimu yangu ni lower class haina thamani kwako lakini nakuambia jinsi sheria ya mazingira inavyosema kwa sasa, labda hapo itakapobadilishwa baadae. Hebu na wewe mwenye elimu kubwa jielimishe sheria na kanuni zake zinavyosema kuhusu mchakato wa tathmini ya athari kwa mazingira hapa nchini na duniani.

Na hata huko unakosema kwenye high education siyo kila kitu kinawekwa wazi kijana, jitahidi na wewe ujielimishe kwa hilo.
 
Back
Top Bottom