Arrogan
I do understood you na sikulaumu kwa hilo haya ndio matokeo ya ccm kuharibu mfumo wa kielimu na tunaishia kupata middle class kama wewe,yes mradi kama ni wa TANESCO,kisheria ilitakiwa wapeleke kwanza ripoti yao kuhusu athari ya mazingira kwa mradi huu na pia hawa watu wa mazingira ilitakiwa nao wajiridhishe kuwa mazingira yataathiriwa vipi na ripoti hizi sio siri na public wana haki ya kujua;