NEMC yazifungia Bar, Kumbi za Starehe 89 zikiwemo Wavuvi Kempu, Boardroom, Ware House

Nampongeza Mkurugenzi.Hawa watu hawajali Wala hawaambiliki. Kuna baa inaitwa kwa mkinga hapa ukonga Mazizini wanatusumbua sana.
 
Muda huu nimetoka las carinyo pamekuwa pa baridi utafikiri walevi (wanywaji) wanaomboleza msiba. Nimeenda Uhuru Peak wamezungushia mabati nadhani wanakarabati, nimeenda Masai pamepoa sana.
nimeenda twitter muziki mdogo sana hata DJ hayupo.
Hapa nipo njiani naenda kulala kwenye stoo yangu.
 
Hata me huangalia mpira las cainyo kama wamepachinja basi wapuuzi...
 
Wameanza na bar, itafuata kupiga marufuku Kitimoto .

Chukulia kila bar ina wafanyakazi si chini ya 20 na bar zaidi ya 89 zimefungiwa.
Inamaana watu zadi ya 1,780 ajira. Zao zimesitishwa.


OKTOBA 2025 SIYO MBALI!
 
Wameanza na bar, itafuata kupiga marufuku Kitimoto .

Chukulia kila bar ina wafanyakazi si chini ya 20 na bar zaidi ya 89 zimefungiwa.
Inamaana watu zadi ya 1,780 ajira. Zao zimesitishwa.


OKTOBA 2025 SIYO MBALI!
Bar hazijafungwa, wamefungiwa kupiga muziki, fungua na uza kimya kimya, Kwakweli ni KERO sana.

Wasiishie kwenye BAR, washuke kwenye MAKANISA maana wanapiga muziki usiku kucha, hawapumziki, na hata mchana na kero.
 
Na huku kawe wasitusahau....Kuna baa mpya IPO eneo la jeshi karibu na makazi ya watu....inapiga mziki usiku kucha hasa wikiendi...Ila waende kwa ustaarabu maana wazee wa kazi wanakuwepo pale.
Wazee wa kazi ndio kina Nani?
 
Ukiwa na viongozi wa TAASISI wasio na mindset za biashara haya ndo madhara kama tatizo ni kelele za muziki wawafungie muziki nankuwapiga faini huku huduma zingine za vinywaji chakula na Ngonobziendelee. Kwankuwafungia serikali imekosankodi, Kuna wafanyakzi wengi hii chain ukiikata gafla ni shida.... Hili lakufunga ni solution na muda mfupi TU
 
Hivi wamefungiwa au wamepiga marufuku miziki? Sijaelewa
 
WASIPOFUNGIA MISIKITI NA VILE VIPAZA SAUTI VYAO ALFAJIRI, HILI ZOEZI NI BATILI
 
TTG sijaiona hii bar isipofungiwa nitashangaa. Inapiga sana kelele.
 
Wanatusumbua sisi matajiri hatuwezi kuiala kwa amani. Fungia hizo takataka
 
Matokeo ya malumbano ya hoja i t v wiki iliopita watajua hawajui tutafungua miziki ya magari cjui fine watapiga toyota au mwenye gari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…