NEMC yazifungia Bar, Kumbi za Starehe 89 zikiwemo Wavuvi Kempu, Boardroom, Ware House

Hapo kwenye samaki nimecheka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Jamani samaki nao wanahitaji utulivu ili wazaliane wawe wengi tupate mboga ya kutosha, Sasa mkiwa mnawapigia kelele hawatapata utulivu,na hawatazaliana kwa wingi,au wanaweza wakahama na bahari yenyewe kwa makelele yenu!![emoji3][emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…