Nenda Sabaya lakini bila wewe haya yasingewezekana kutokea wilaya ya Hai

Simiyu nayo ilikuwa ngome ya Mbowe?
 
Ameondoka kwa kasi ileile aliyokuja nayo. Nadhani akiongea tena na 'Clouds' atafafanua vizuri sana kwa machozi ya kutubu. AMEN
Sabaya amekuwa diwani wa ccm Arusha enzi hizo ikiwa ngome ya Dk Slaa
 
Huo ndio ukweli, Sabaya ni mfungwa wa kisiasa. Kinachouma ni kusalitiwa na mkuu mpya wa chama na rais wa jamhuri.

Hivi inakuwaje kijana una nguvu na akili zako na umesoma unaamua kuwa jambazi?? Halafu mwisho wa siku mnasingizia eti amefungwa Kisiasa, really?? Mbona kwenye kujitetea hakusema ni kesi ya Kisiasa ila kakumbuka tuu mchumba aliyemtolea mahari??
 
Ebooh,kwa hiyo unatabiri 2025 samia atapoteza na atakuja rais mwingine atakayemtoa kifungoni sabaya!!?
 
Kamsaidie angalau sabuni huyo gaidi na jambazi mwenzio. Acha kutupigia kelele hapa jukwaani bure.
 
Mwenzio anafirwa pale Kisongo wewe unapayuka mitandaoni,Akili zako zipo Matakoni na si kichwani,jitahidi umpelekee Nyembe za kunyolea vuzi,Sabuni nk
 
Mwenzio ameshapigwa na upara tayari wewe unapayuka mitandaoni,unaona Ugali anaopewa ale ulivyo???[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]akila tu nae Marinda yanatolewa,What Goes Around Comes Around,imeisha hiyo,hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Babu Seya alihukumiwa maisha jela lakini leo yuko wapi?

Bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi, halafu ana kesi ya pili, na pengine ya tatu, sitashangaa akipigwa jumla miaka 50 au 60. Kumbuka time is money hata akikaa miaka 15 jela na akaachiwa kama Babu Seya tayari atakuta na Mchumba ana watoto na dunia imesonga sanaaaa....Anaweza kukuta nchi iko mikononi mwa ACT Wazalendo au Rais ni Lissu wa Chadema hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.....
 
Nimekutukana matusi yote.
Ccm nyie ni wauaji, wachawi na majambazi
 
Mbona mtu wa TRA alikataa kuwa Sabaya hakutumwa kuksannya mapato ya serikali? sasa yalipandaje (inawezekana pia yangepanda zaidi ila kiasi fulani kilipigwa)

Juu wa CCM kushinda madiwani na Mbunge - hicho kiinimacho kilikuwa nchi nzima si Hai peke yake
 

Umeandika maneno tu bila data,weka data tuone mapato yalipanda kutoka wapi mpaka wapi!
 
Labda magufuli afufuke
 
Hao TRA wamehongwa na Mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…