Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili tumtengenezee mbowe ruzuku ya kula na vimada vyake pumbufuUsisubiri hadi 2025 ifike ndio ukurupuke kutafuta kadi ya CHADEMA hasa kama unataka kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya CDM.
Ng'ombe hanenepi siku ya mnada, chukua nafasi yako mapema kabla hujachelewa. Nenda kwenye tawi lolote la CHADEMA lililo karibu na wewe, chukua kadi ya uanachama!
Baada ya hapo shiriki kwenye mambo yote ha uenezi wa chama hiki cha upinzani kilichobaki kwenye ulingo wa siasa za upinzani Tanzania.
Sisi TAWI letu lilikuwa pale Mwananyamala kwa Mama Zakaria lakini lilishafungwa tangu 2017Sahihi matawi mengi ya Chadema yalifungwa mara baada ya Lowassa kushindwa uchaguzi 2015
Yaliibuka kama uyoga yakafungwa kama uyoga hadi leo
Kwa nini usianzishe thread ya CCM badala ya kudandia ya mwenzako?Kila.mkoa na kila wilaya na kila Kata Zipo..
Na nawakumbusha Pia wanaotaka kuchukua Au kugombea CCM..
Wawahi mapema..
Kadi watazipata wakijiunga na apps ya CCM ni rahisi zaidi
hakuna mzalendo anaweza kumiliki huo ushuziHivi kuna Mtanzania hana kadi ya Chadema hadi leo ?
Usisubiri hadi 2025 ifike ndio ukurupuke kutafuta kadi ya CHADEMA hasa kama unataka kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya CDM.[emoji419][emoji375]Usisubiri hadi 2025 ifike ndio ukurupuke kutafuta kadi ya CHADEMA hasa kama unataka kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya CDM.
Ng'ombe hanenepi siku ya mnada, chukua nafasi yako mapema kabla hujachelewa. Nenda kwenye tawi lolote la CHADEMA lililo karibu na wewe, chukua kadi ya uanachama!
Baada ya hapo shiriki kwenye mambo yote ha uenezi wa chama hiki cha upinzani kilichobaki kwenye ulingo wa siasa za upinzani Tanzania.
Nimemkumbuka Hayati Lowassa.Hivi kuna Mtanzania hana kadi ya Chadema hadi leo ?
Siyo kweli hata kidogo. Itikadi ya mtu haijengwi na jengo la ofisi.Sahihi matawi mengi ya Chadema yalifungwa mara baada ya Lowassa kushindwa uchaguzi 2015
Yaliibuka kama uyoga yakafungwa kama uyoga hadi leo
Wahi nakala ni Chache sanaWapo mfano mimi.. soon nitachukua
Alikuwa na Kadi Kitambo tu.Nimemkumbuka Hayati Lowassa.
Well answeredSiyo kweli hata kidogo. Itikadi ya mtu haijengwi na jengo la ofisi.
JFs wengine hawastahili kuwa humu.Unamilkk kadi yao ili iweje
Matapeli haoKuna rafiki yangu alinishawishi siku moja nikachukue kadi ya chama, nilivyofika pale nikajaza kila kitu walipoanza kuniomba kadi yangu ya kupigia kura nikawajibu subiri nikawafatie baada ya hapo sikurudi tena 🤣🤣🤣
Chama kina ofisi kabisa, waliponitibua zaidi waliponiambia nichangie pesa ya ushubwada gani sijui aiseee!! Niliona hivi vyama vyote jau tupu 😂😂😂Matapeli hao
Hicho itakuwa ni CCM au ACTChama kina ofisi kabisa, waliponitibua zaidi waliponiambia nichangie pesa ya ushubwada gani sijui aiseee!! Niliona hivi vyama vyote jau tupu 😂😂😂
Unaona hadi aibu.hakuna mzalendo anaweza kumiliki huo ushuzi
😂😂😂😂 mbona vingine hujaviorodhesha??Hicho itakuwa ni CCM au ACT
Hivyo ndio vyenye mashaka.....na CUF😂😂😂😂 mbona vingine hujaviorodhesha??