Wewe utakuwa CDMHivyo ndio vyenye mashaka.....na CUF
Ukweli usemwe tuWewe utakuwa CDM
Unavutia kamba kwako πππUkweli usemwe tu
Acha makasiriko angalia nilikuwa najibu nini usikurupuke maana hata wewe hiyo sio Post yakoKwa nini usianzishe thread ya CCM badala ya kudandia ya mwenzako?
Pambambane kwenye tume ya uchaguzi hapo ndiyo kitanziUsisubiri hadi 2025 ifike ndio ukurupuke kutafuta kadi ya CHADEMA hasa kama unataka kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya CDM.
Ng'ombe hanenepi siku ya mnada, chukua nafasi yako mapema kabla hujachelewa. Nenda kwenye tawi lolote la CHADEMA lililo karibu na wewe, chukua kadi ya uanachama!
Baada ya hapo shiriki kwenye mambo yote ha uenezi wa chama hiki cha upinzani kilichobaki kwenye ulingo wa siasa za upinzani Tanzania.
HakikaUsisubiri hadi 2025 ifike ndio ukurupuke kutafuta kadi ya CHADEMA hasa kama unataka kugombea nafasi yoyote ya uongozi ndani ya CDM.
Ng'ombe hanenepi siku ya mnada, chukua nafasi yako mapema kabla hujachelewa. Nenda kwenye tawi lolote la CHADEMA lililo karibu na wewe, chukua kadi ya uanachama!
Baada ya hapo shiriki kwenye mambo yote ha uenezi wa chama hiki cha upinzani kilichobaki kwenye ulingo wa siasa za upinzani Tanzania.