Nenda tawi lolote la CHADEMA lililo karibu na wewe chukua kadi ya uanachama mapema utafurahi 2025

Pambambane kwenye tume ya uchaguzi hapo ndiyo kitanzi
 
Hakika
 
Hapo ujue umewatangazia wanaccm fursa ya kupata Kadi hizo halafu kwenye mikutano yao wajifanye ni wanachadema wameamua kuunga juhudi na hela watavuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…