Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia mwanamke nisije nikakuchafulia siku yakoKumbe unatafuta kuolewa kupitia kumkandia nandy😂😂😂😂 Yani uko kooote muoaji hajakuona aje akuonee hapa,, endelea kudanga, mwenzio yuko honeymoon
Sichafukwagi na watu wasiojulikanatulia mwanamke nisije nikakuchafulia siku yako
Abaziba mkashobya mazima, Sasa hapa inahusianaje! Nandy hajawahi kuolewa Wala kuzaa na mtu mwingine wangekuwa uhayani huyo kijana (billinas) angelamya vizuri tu,,Okushaba eshabile nigo mainale! Tibalikunuga! Omuhaya koshwekla Enyailya Tolamya!
Tuanze kuyaandaa Machozi ya Kulia![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila Genta bhana, uwiiiih
umeisha mpikia mmeo au upo huk unashobokea wanaumeSichafukwagi na watu wasiojuli
Haina makomboUnaweza kuwa unakula leo lkn unakula "makombo ya upendo".
Nenga hakupendwa Ila basi tu Nandy kaona kilometa zinasonga
Lkn inaleta kinyaa. Ndiyo maana kuna wivu wa mapenziHaina makombo
Kama rijali huwezi kuona kinyaa labda kama mtu katoka kung'oa mjegejeo hapo hapo lakini kama ni historia tu kuwa fulani aliwahi kuzatika hapo,suala la kinyaa halipo.Lkn inaleta kinyaa. Ndiyo maana kuna wivu wa mapenzi
Omushongole,olamanya abanyamahanga tibagila magezi. Tibanuga.Okushaba eshabile nigo mainale! Tibalikunuga! Omuhaya koshwekla Enyailya Tolamya!