Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua kizungu, na kutumia Google? Maelezo yapo pale.Habari, gari yangu imeandika neno ABS Kwenye Dash Board na imejilock, nimejaribu kuwasha kwa push to start Button ila Haiwaki nimechomeka Funguo nayo imenasa humo, Naombeni Msaada wakuu.
Inataka urudi chekechea kusoma Alphabets kwanza 😂😂😂😂😂Habari, gari yangu imeandika neno ABS Kwenye Dash Board na imejilock, nimejaribu kuwasha kwa push to start Button ila Haiwaki nimechomeka Funguo nayo imenasa humo, Naombeni Msaada wakuu.
Toka lini gari ya Push Start ikawashwa tena na funguo? gari za nchi gani hizo?Habari, gari yangu imeandika neno ABS Kwenye Dash Board na imejilock, nimejaribu kuwasha kwa push to start Button ila Haiwaki nimechomeka Funguo nayo imenasa humo, Naombeni Msaada wakuu.
Anti lock, braking systemABS maana yake ni Automatic Break System
Maneno yako yana mushkell ....Habari, gari yangu imeandika neno ABS Kwenye Dash Board na imejilock, nimejaribu kuwasha kwa push to start Button ila Haiwaki nimechomeka Funguo nayo imenasa humo, Naombeni Msaada wakuu.
Dah KudadadekiAntilock Brake System....
Inazuia tairi isilock ukifunga brake kwa nguvu. Magari ya kisasa huo mfumo ukiwa na shida huondoki, tafuta fundi akusaidie inawezakana ni sensor tu.
Siku nyingine nunua gari za Japan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16], over!
Hizo Gari anatengeneza mtu anaitwa Babu Magomeni pale zimejaa Hizo gari sensa nyingi na vina bei kwa bongo wengine huchukua maamuzi ya kuagiza spea nje its cheap kuliko kununu kwa waganga njaa bongoTouareg 2007 mkuu