Neno ABS Linamaanisha Nini Kwenye Gari VW

Neno ABS Linamaanisha Nini Kwenye Gari VW

sijui hii kitu ina maana gani hata mimi juzi ilitokea kwenye gari yangu wakati nimesimama, "ABS" ilikuwa ina blink kwenye dashboard pia taa ya check engine ikawa inawaka alafu kuna wakati gari ikawa kama inataka kuzima.

Nime-google sasa hivi, nimeona (ABS) inahusiana na hitilafu iliyopo kwenye breki.
 
Mkuu kufuta error codes unamaanisha kuwa aje kutengeneza kilichoharibika?
Sio lazima. Sometimes hizi gari inapata errors to kwenye system. Ukifuta inatulia. In case error inajirudia tena hapo ndio unatafuta sababu yake na kutatua.
Mfano hio abs unaweza kuta alipita tu kwenye maji error ikatokea na maji yalishakauka so unaweza kufuta uka clear code ikakaa sawa.
 
Sio lazima. Sometimes hizi gari inapata errors to kwenye system. Ukifuta inatulia. In case error inajirudia tena hapo ndio unatafuta sababu yake na kutatua.
Mfano hio abs unaweza kuta alipita tu kwenye maji error ikatokea na maji yalishakauka so unaweza kufuta uka clear code ikakaa sawa.
@RRONDO Mkuu upo sahihi hapa..
 
Habari, gari yangu imeandika neno ABS Kwenye Dash Board na imejilock, nimejaribu kuwasha kwa push to start Button ila Haiwaki nimechomeka Funguo nayo imenasa humo, Naombeni Msaada wakuu.

ABS kwenye gari yoyoye ina maana moja tu. Anti-Lock Brake System au Anti-Skid Brake System.

Kama taa inaendelea kuwaka ukiwa umewasha gari then kuna shida kwenye mfumo wa ABS. Katengeneze gari.
 
Back
Top Bottom