mkemiamkuu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 355
- 284
Hao jamaa ni madereva makanjanja tu hawana hata elimu ya udereva wa kujihami (defensive driving)Duh...ubaya wa lori likitaka kukata kulia linajaa kushoto,wewe unaona ndio umeachiwa njia!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao jamaa ni madereva makanjanja tu hawana hata elimu ya udereva wa kujihami (defensive driving)Duh...ubaya wa lori likitaka kukata kulia linajaa kushoto,wewe unaona ndio umeachiwa njia!
Habari, gari yangu imeandika neno ABS Kwenye Dash Board na imejilock, nimejaribu kuwasha kwa push to start Button ila Haiwaki nimechomeka Funguo nayo imenasa humo, Naombeni Msaada wakuu.
Habari, gari yangu imeandika neno ABS Kwenye Dash Board na imejilock, nimejaribu kuwasha kwa push to start Button ila Haiwaki nimechomeka Funguo nayo imenasa humo, Naombeni Msaada wakuu.
Antilock sio automaticABS maana yake ni Automatic Braking System
Umejitahidi sana ila umefeli!ABS maana yake ni Automatic Braking System
Hao jamaa ni madereva makanjanja tu hawana hata elimu ya udereva wa kujihami (defensive driving)
hii tafsiri ya kiwango cha standard gaugeMaana ya ABS ni
A = antilock or automatic
B = brake
C = system
Au kwa kiswahil ni mfumo wa brake wa umeme sawa boss
gari ni lako ama la shem?Habari, gari yangu imeandika neno ABS Kwenye Dash Board na imejilock, nimejaribu kuwasha kwa push to start Button ila Haiwaki nimechomeka Funguo nayo imenasa humo, Naombeni Msaada wakuu.
hahahaah nimeona mzee..Nimeshawasilisha
Leta mrejesho sasa. Maana kama ushauri tulikupa wa kutosha. Tatizo ulitatuaje.Soma Mtandaoni Touareg 2007 Ina Option ngapi za kuwasha gari, Hapa Nikikwambia Ina Gear Automatic na Manual ndo nitakuwa nimekuacha kwenye mataa kabisa
Mzee angalia Touareg 2007 ina Option ngapi za kuwasha gari, kwanini unakuwa mgumu kuelewa na uko na google hapo inayoweza kukupa jibu ndani ya 30 secWewe umeshindwa kuelezea na ueleweke kwa maelezo yako mtu yeyote lazima umchanganye hakuna gari ya push to start alaf hapo hapo ikawa na funguo.
Kama uko kamili usingeuliza kwanini kuna push to start button na Key Starter mzee nyamaza
Ka gugo uje urekebishe ulichoandikaABS maana yake ni Automatic Braking System
Umezoea sienta😀😀 duniani kuna gari nyingi sana kila kampuni wanaeza kuja na model yake wakaamua iwe hivi...gari la jamaa inaonekana lina vyote kwa pamojaToka lini gari ya Push Start ikawashwa tena na funguo? gari za nchi gani hizo?
Hio automatic haipoMaana ya ABS ni
A = antilock or automatic
B = brake
C = system
Au kwa kiswahil ni mfumo wa brake wa umeme sawa boss
Wewe kutokuijua haimaanishi haipo ..kama bajaj zipo ambazo ni push button hapo hapo fuñguo inawasha pia na hizo ni za kutoka india sembuse gari za japan au GermanWewe umeshindwa kuelezea na ueleweke kwa maelezo yako mtu yeyote lazima umchanganye hakuna gari ya push to start alaf hapo hapo ikawa na funguo.