Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Extrovert uje kwanza, ila na wewe hauchelewi kula ban hahaha..Antilock Brake System....
Inazuia tairi isilock ukifunga brake kwa nguvu. Magari ya kisasa huo mfumo ukiwa na shida huondoki, tafuta fundi akusaidie inawezakana ni sensor tu.
Siku nyingine nunua gari za Japan ππππ, over!
Wewe umeshindwa kuelezea na ueleweke kwa maelezo yako mtu yeyote lazima umchanganye hakuna gari ya push to start alaf hapo hapo ikawa na funguo.Soma Mtandaoni Touareg 2007 Ina Option ngapi za kuwasha gari, Hapa Nikikwambia Ina Gear Automatic na Manual ndo nitakuwa nimekuacha kwenye mataa kabisa
Aione ExtrovertAntilock Brake System....
Inazuia tairi isilock ukifunga brake kwa nguvu. Magari ya kisasa huo mfumo ukiwa na shida huondoki, tafuta fundi akusaidie inawezakana ni sensor tu.
Siku nyingine nunua gari za Japan [emoji23][emoji23][emoji23][emoji16], over!
Dah [emoji23]Toka ndani ya gari humo mkuu isije ikaku lock na ww ndani ya gari ..iyo gari tayar ishapandwa na maruhani mkuu
Watu wanaupiga mwingi hadi wanatoa boko πππ. Kuna Audi ya 2009 ipo hivyo nimeshindwa bei tu π’π’Naona mmemkomalia jamaa. Kama kitu hujawahi kuona using'ang'anie hakipo. Hizo gari na nyingine zina REMOTE KEY. Unaichomeka sehemu yake then you PUSH TO START/OFF.
Wewe umeshindwa kuelezea na ueleweke kwa maelezo yako mtu yeyote lazima umchanganye hakuna gari ya push to start alaf hapo hapo ikawa na funguo.
How much?Watu wanaupiga mwingi hadi wanatoa boko πππ. Kuna Audi ya 2009 ipo hivyo nimeshindwa bei tu π’π’
walinianzia 26 mill nikachekecha nikaona haipo kwenye budget ya utelekezeji. Nikaone acha niwe na subiri dalali alikuwa yupo katiHow much?
kha π³π³Kwenye mtiti Kama huu ABS inaweza kukusaidia au tumuachie MunguView attachment 1922436
Huyo wa nyuma vipi? Au ligi?Kwenye mtiti Kama huu ABS inaweza kukusaidia au tumuachie MunguView attachment 1922436
Achana nayo. Utainunua kwa bei ya mfuko wa shati baadae.walinianzia 26 mill nikachekecha nikaona haipo kwenye budget ya utelekezeji. Nikaone acha niwe na subiri dalali alikuwa yupo kati
Duh...ubaya wa lori likitaka kukata kulia linajaa kushoto,wewe unaona ndio umeachiwa njia!Kwenye mtiti Kama huu ABS inaweza kukusaidia au tumuachie MunguView attachment 1922436
Dereva wa Lorry nae hakuangalia pembeniDuh...ubaya wa lori likitaka kukata kulia linajaa kushoto,wewe unaona ndio umeachiwa njia!
Hatari,jamaa walikua street race itakua!Kwenye mtiti Kama huu ABS inaweza kukusaidia au tumuachie MunguView attachment 1922436
Kwa mwendo wa hao jamaa,unaweza kuangalia ukaona kweupe ila kitendo cha kugeuka tu hawa hapaDereva wa Lorry nae hakuangalia pembeni
walikuwa wana fukuzanaHatari,jamaa walikua street race itakua!
walikuwa wanafukuzana haoKwa mwendo wa hao jamaa,unaweza kuangalia ukaona kweupe ila kitendo cha kugeuka tu hawa hapa
Hatari aisee,sidhani kama walitoka salamawalikuwa wana fukuzana
watakuwa mbinguni a.k.a peponi wanakula rahaHatari aisee,sidhani kama walitoka salama