Neno "DEAR" linatumika vibaya au ni Ushamba wangu

Neno "DEAR" linatumika vibaya au ni Ushamba wangu

We are not europens bana sisi waafrika😀.
Kwenye barua ni sawa
Kwani dear ni neno la kibantu?Waliotuletea wameleta pia na matumizi yake.Waingereza ndio wenye hiyo lugha. Unadai sisi sio Europeans tatizo dear ni neno la kiingereza. Unataka kuleta tafsiri unayoitaka wewe?
 
Kwann wasiseme mpendwa!! Kimsingi haya Mambo ya kusagana huwa yanaanzaga hivyo hivyo!

KwaSasa wanawake wengi wameangukia kwenye kusagana, wengine huwezi kuamini.

Wengi wanakufa na Siri zao moyoni ila kiukweli wanafanya saana
 
IMG_3326.jpeg
 
Focus na msiba kwanza,,,,RELAX acha ukoloni mambo Leo,,,, ! Chukulia kawaida,,,, mbn mtu anakuita boss ama tajiri ?
 
Sasa neno Dear, na kusagana wapi na wapii? Lol
Hivyo ndivyo wanavyoanza, kuitana Dear!!

Wakija kukutana wanahugiana!

Siku inayofuata wanapigana busy shavuni

Siku inayofuata wanakiss mdomoni

Siku inayofuata Wanakumbatiana na kuanza kuplayiana

Siku inayofuata ni kitandani, na Mambo mengine, mara nyingi huwa wanafanya haya wakilala pamoja.. maana mtu unakuwa huna wasi wasi nao.

Kimsingi wamebeba Siri nyingi sana na vitu vingi sana kweny vichwa vyao
 
Tunawaita dear wakurugenzi kwenye makampuni katika barua wewe unazungumzia zamani ipi ambayo hilo neno lilikuwa halina maana nzuri achana na dear za kina ZUCHU dear maana yake ni mpendwa katika mazingira mengine
 
Lugha tu gongana. Mbona barua za kikazi huwa tunaandika Dear Sir / Madam
 
Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.

Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.

Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.

Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Kuna maneno mazuri zaidi ya hilo mfano my beloved, darling and cherished
 
Hivyo ndivyo wanavyoanza, kuitana Dear!!

Wakija kukutana wanahugiana!

Siku inayofuata wanapigana busy shavuni

Siku inayofuata wanakiss mdomoni

Siku inayofuata Wanakumbatiana na kuanza kuplayiana

Siku inayofuata ni kitandani, na Mambo mengine, mara nyingi huwa wanafanya haya wakilala pamoja.. maana mtu unakuwa huna wasi wasi nao.

Kimsingi wamebeba Siri nyingi sana na vitu vingi sana kweny vichwa vyao
Hayo ni mawazo yako tyuuh, wala sio uhalisia. Khaaah
 
Back
Top Bottom