Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
- Thread starter
- #61
Kumbe😀Yeah,linaamsha hisia nzuri ya kuona kuwa huyo mtu anakujali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe😀Yeah,linaamsha hisia nzuri ya kuona kuwa huyo mtu anakujali
Sio kweliAthari za kuwaza ngono kupitiliza!
Nashukuru kwa tahadhariDogo anataka kukukula kuwa naye makini dear
Nashukuru kwa kunielewa. Utamaduni wetu hatuna mahaba ya hivyoKwenda shule hakumaanishi kudestory asili yetu wabantu, huyu mtoa mada namuelewa vizuri kuna namna unakuta mtu anakuita iwe kwa sauti au kwa msg aahhrr inakera hasa ukute wa jinsia yako dah inafikirisha....pamoja na masters yangu sijawahi kupenda kuitwa itwa ivo vimajina bila uhusiano wowote....na wewe punguza ulimbukeni ukahisi kusoma ndo kubleach uhalisia wa maisha ya mtz
Binafsi imenichukua muda sana kumuita mwanamke mwenzangu dear. Sasa hivi naweza lkn ni kwa marafiki zangu wa karibu tu. Kama mtu simjui na sina unaribu nae siwezi kumuita dearLabda ni kuonyesha good gesture. Wanawake mnaitana vyovyote kimahaba mahaba. Mimi tu mwanaume akiniambie nimekumiss namkata jicho hilo kwa mshangao.
Kwann wasiseme mpendwa!! Kimsingi haya Mambo ya kusagana huwa yanaanzaga hivyo hivyo!
KwaSasa wanawake wengi wameangukia kwenye kusagana, wengine huwezi kuamini.
Wengi wanakufa na Siri zao moyoni ila kiukweli wanafanya saana
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nilikosana na mpenzi wangu baada ya kuona msg niliyotumiwa na rafiki yangu wa kike iliyoandikwa "mambo dear".Kwann wasiseme mpendwa!! Kimsingi haya Mambo ya kusagana huwa yanaanzaga hivyo hivyo!
KwaSasa wanawake wengi wameangukia kwenye kusagana, wengine huwezi kuamini.
Wengi wanakufa na Siri zao moyoni ila kiukweli wanafanya saana
Mkiambiwa msome mnakimbia unande, dear kwa kiswahili ni ndugu, ktk barua za kikazi linatumika ktk utangulizi eg Dear Sir!Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.
Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.
Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.
Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Nisingekaa kimya nitauliza why unaniita hivyoUngeambiwa Darling hisia zako zisingeamka tu zingetembea.
Just joking no hard feelings.
NImekuelewa dearKwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.
Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.
Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.
Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Nazungumzia maongezi ya kawaida na si barua.Mkiambiwa msome mnakimbia unande, dear kwa kiswahili ni ndugu, ktk barua za kikazi linatumika ktk utangulizi eg Dear Sir!
Ule uzi wako niliufanyia kazi na naendelea kuufanyia kazi mwaka mzima.Mimi kila mtu namuita dear
Sasa jichanganye
Loh😀NImekuelewa dear
Yeah ni hivyo tu dear,au wewe unadhan linaamsha hisia gan mbayaKumbe😀
KabisaUkiitwa dearest si utazimia dear?
Nini sasa dear wangu😍😂Loh😀
Kweli kabisa dearHapo sasa my dear....
Dear ni lenye upendo ndani yake na halina mipaka ndani yake..
HIsia za kimahaba kama aliyekuita hivyo ni jinsia tofautiYeah ni hivyo tu dear,au wewe unadhan linaamsha hisia gan mbaya