Neno "DEAR" linatumika vibaya au ni Ushamba wangu

Neno "DEAR" linatumika vibaya au ni Ushamba wangu

Kwenda shule hakumaanishi kudestory asili yetu wabantu, huyu mtoa mada namuelewa vizuri kuna namna unakuta mtu anakuita iwe kwa sauti au kwa msg aahhrr inakera hasa ukute wa jinsia yako dah inafikirisha....pamoja na masters yangu sijawahi kupenda kuitwa itwa ivo vimajina bila uhusiano wowote....na wewe punguza ulimbukeni ukahisi kusoma ndo kubleach uhalisia wa maisha ya mtz
Nashukuru kwa kunielewa. Utamaduni wetu hatuna mahaba ya hivyo
 
Labda ni kuonyesha good gesture. Wanawake mnaitana vyovyote kimahaba mahaba. Mimi tu mwanaume akiniambie nimekumiss namkata jicho hilo kwa mshangao.
Binafsi imenichukua muda sana kumuita mwanamke mwenzangu dear. Sasa hivi naweza lkn ni kwa marafiki zangu wa karibu tu. Kama mtu simjui na sina unaribu nae siwezi kumuita dear
 
Kwann wasiseme mpendwa!! Kimsingi haya Mambo ya kusagana huwa yanaanzaga hivyo hivyo!

KwaSasa wanawake wengi wameangukia kwenye kusagana, wengine huwezi kuamini.

Wengi wanakufa na Siri zao moyoni ila kiukweli wanafanya saana

Kwann wasiseme mpendwa!! Kimsingi haya Mambo ya kusagana huwa yanaanzaga hivyo hivyo!

KwaSasa wanawake wengi wameangukia kwenye kusagana, wengine huwezi kuamini.

Wengi wanakufa na Siri zao moyoni ila kiukweli wanafanya saana
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nilikosana na mpenzi wangu baada ya kuona msg niliyotumiwa na rafiki yangu wa kike iliyoandikwa "mambo dear".
Alikasirika as if ni msg kutoka kwa mwanaume, sikuelewa
 
Kwanza pole sana kwa kufiwa na mjomba.
La pili neno Dear linatumika sehemu nyingi tu, kwa huyo ni sawa kwa sababu mnajuana kwa mda
Lakini kuna wakati unaweza kukutana na mtu labda ofisini wakakuambia hello love
Na hakujui
Ila haya maneno ni kawaida hapa kwa wenye lugha yao I mean waingereza
 
Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.

Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.

Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.

Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Mkiambiwa msome mnakimbia unande, dear kwa kiswahili ni ndugu, ktk barua za kikazi linatumika ktk utangulizi eg Dear Sir!
 
Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.

Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.

Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.

Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
NImekuelewa dear
 
Back
Top Bottom