Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
- Thread starter
- #101
Inategemea kama na mimi nipo seriousIla mwanaume akiwa serious na akakuita dear...........???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea kama na mimi nipo seriousIla mwanaume akiwa serious na akakuita dear...........???
Hao ni ndugu inaeleweka.Dear haimanishi hivyo
My dear sister, my dear brother, my dear father, my dear friend, my dear mother
Kama lipo normal kwann Mwanaume huwezi mwambia... "Mambo Dear" why?Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nilikosana na mpe
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nilikosana na mpenzi wangu baada ya kuona msg niliyotumiwa na rafiki yangu wa kike iliyoandikwa "mambo dear".
Alikasirika as if ni msg kutoka kwa mwanaume, sikuelewa
OkInategemea kama na mimi nipo serious
Tembea ujionee, jaribu kutoka hata nje ya Tanzania itakusaidia nchi za Africa utanielewa, mfano pasi kwa kimombo inaitwa pressing iron hutamkwa hivi pressing ironi na siyo pressing ianiHao ni ndugu inaeleweka.
ReallyKwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.
Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.
Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.
Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Hata mimi nalitumia hivyoKwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.
Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.
Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.
Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
You have to change your mindsetInakera ndio
Kwaajili ya nani?You have to change your mindset
Limekaa kushoto kushotoUna hoja usikilizwe.
binafsi pia huwa nikilisikia hilo neno, najawa na simanzi
Nipo hapa bongo naongea na wabongo wenzangu, sidhani kama natakiwa kutoka nje ya nchi ili nikaige taratibu za mataifa mengine.Tembea ujionee, jaribu kutoka hata nje ya Tanzania itakusaidia nchi za Africa utanielewa, mfano pasi kwa kimombo inaitwa pressing iron hutamkwa hivi pressing ironi na siyo pressing iani
Sasa shangaa kuna midume hapa inaona sawa kuitwa dear na wanaume wenzakeHuku Arusha umuite Mwanaume Mwenzako Dear lazima aone kuna Kasoro Flani hivi halafu sio kila Neno la kiingereza unalitumia kwenye kiswahili
Je picha ya kibinafsi, unaifahamu kwa kimombo ni self-imageKwaajili ya nani?
Asante.Kwanza pole sana kwa kufiwa na mjomba.
La pili neno Dear linatumika sehemu nyingi tu, kwa huyo ni sawa kwa sababu mnajuana kwa mda
Lakini kuna wakati unaweza kukutana na mtu labda ofisini wakakuambia hello love
Na hakujui
Ila haya maneno ni kawaida hapa kwa wenye lugha yao I mean waingereza
Una shida mahali,Wanajipendekeza
Unataka kumaanisha nini yaani? Kwamba unadhani sielewi kabisa kimombo?Je picha ya kibinafsi, unaifahamu kwa kimombo ni self-image