Neno "DEAR" linatumika vibaya au ni Ushamba wangu

Neno "DEAR" linatumika vibaya au ni Ushamba wangu

Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nilikosana na mpe

Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nilikosana na mpenzi wangu baada ya kuona msg niliyotumiwa na rafiki yangu wa kike iliyoandikwa "mambo dear".
Alikasirika as if ni msg kutoka kwa mwanaume, sikuelewa
Kama lipo normal kwann Mwanaume huwezi mwambia... "Mambo Dear" why?
 
Huku Arusha umuite Mwanaume Mwenzako Dear lazima aone kuna Kasoro Flani hivi halafu sio kila Neno la kiingereza unalitumia kwenye kiswahili
 
Hao ni ndugu inaeleweka.
Tembea ujionee, jaribu kutoka hata nje ya Tanzania itakusaidia nchi za Africa utanielewa, mfano pasi kwa kimombo inaitwa pressing iron hutamkwa hivi pressing ironi na siyo pressing iani
 
Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.

Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.

Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.

Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Really
 
Una hoja usikilizwe.
binafsi pia huwa nikilisikia hilo neno, najawa na simanzi
 
Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.

Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.

Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.

Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Hata mimi nalitumia hivyo
 
Tembea ujionee, jaribu kutoka hata nje ya Tanzania itakusaidia nchi za Africa utanielewa, mfano pasi kwa kimombo inaitwa pressing iron hutamkwa hivi pressing ironi na siyo pressing iani
Nipo hapa bongo naongea na wabongo wenzangu, sidhani kama natakiwa kutoka nje ya nchi ili nikaige taratibu za mataifa mengine.
 
Huku Arusha umuite Mwanaume Mwenzako Dear lazima aone kuna Kasoro Flani hivi halafu sio kila Neno la kiingereza unalitumia kwenye kiswahili
Sasa shangaa kuna midume hapa inaona sawa kuitwa dear na wanaume wenzake
 
Kwanza pole sana kwa kufiwa na mjomba.
La pili neno Dear linatumika sehemu nyingi tu, kwa huyo ni sawa kwa sababu mnajuana kwa mda
Lakini kuna wakati unaweza kukutana na mtu labda ofisini wakakuambia hello love
Na hakujui
Ila haya maneno ni kawaida hapa kwa wenye lugha yao I mean waingereza
Asante.
Haya bwana ngoja nianze kuzoea😀
 
Back
Top Bottom