Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye upande wa barua ipo hivyo. Formal letter lazima ianze na dear.Nani alikudanganya dear ni kati wapenzi tu? Ushamba mwengine! Barua zangu zote nilipofika form two na kutaka kuwaonyesha ndugu zangu kuwa nimeanza kujua kiingereza nilikuwa naanza na ''Dear sister, Dear Father, Dear Brother.....
Wanaharibu vijana kama tumezea Mkuu,Boss,Mwamba Chalii angu Baharia sasa Dear tena ?Sasa shangaa kuna midume hapa inaona sawa kuitwa dear na wanaume wenzake
Imagine mshkaji wako akuite dearWanaharibu vijana kama tumezea Mkuu,Boss,Mwamba Chalii angu Baharia sasa Dear tena ?
Itakua haitumii naona😀Lugha tu gongana. Mbona barua za kikazi huwa tunaandika Dear Sir / Madam
Kwaswbabu umeniita my dearMbona inbox yako umefunga my dear
Mtu yoyote akikuita dear ni sawa kwa upande wako?Kweli hii lugha ilikuja na Meli
Sa hapo mbona hakuna tatizo kabisa
😅😅😅😅Sasa neno Dear, na kusagana wapi na wapii? Lol
Awww DEARKwaswbabu umeniita my dear
Asante dear wanguNa mimi nakupa pole Dear kwa msiba...
Atakuwa Kavua Umwamba au ka Left GroupImagine mshkaji wako akuite dear
Hatariii tupu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ahahaaaaa msago wa mpendwa...
Yani mimi mtu nisiyempenda akiniita hivo nachukia sanaKwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiashara au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.
Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.
Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.
Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Sasa Arusha kuna jipya gani? Na Gays wako kibao. LolHuku Arusha umuite Mwanaume Mwenzako Dear lazima aone kuna Kasoro Flani hivi halafu sio kila Neno la kiingereza unalitumia kwenye kiswahili