Elsa Marie
JF-Expert Member
- Jul 7, 2017
- 2,284
- 5,596
- Thread starter
- #121
Khe! Haya dadaUna shida mahali,
Fix yourself
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khe! Haya dadaUna shida mahali,
Fix yourself
Nimefafanua zaidi hapo juu kwa faida ya watu wengineUnataka kumaanisha nini yaani? Kwamba unadhani sielewi kabisa kimombo?
Ni normal kwa sisi wanawake, kama umeshibana na mtu tunaitana sana dear, hata my love.Kama lipo normal kwann Mwanaume huwezi mwambia... "Mambo Dear" why?
Sawa mkuuNimefafanua zaidi hapo juu kwa faida ya watu wengine
niko sawa Elsa Marie vipi wewe kipenzi?Are you okay?
Nipo sawa mkuuniko sawa Elsa Marie vipi wewe kipenzi?
Yes dearUsijali dear, hukuelewa maana zote za dear. Ya kwanza ni mpenzi ya pili ni kwa yeyote unayemheshimu. Hata barua za kikazi hatumjui tunayemtumia ila huandika dear sir/madam
sawa vipi shughuli ya mazishi ya mjomba imeisha?Nipo sawa mkuu
Bado, mazishi ni jumatatu. Ungependa kutuma rambirambi?sawa vipi shughuli ya mazishi ya mjomba imeisha?
Asante mkuuPole dear
So ni marketing strategy😀.Dear tu
Mimi wateja wangu nawaita mpenzi
Darling
My love
Si ni bora niwapambe wanaonipa jeuri
Ndio,natumaje mkuu?Bado, mazishi ni jumatatu. Ungependa kutuma rambirambi?
JFpesaNdio,natumaje mkuu?
Nani alikudanganya dear ni kati wapenzi tu? Ushamba mwengine! Barua zangu zote nilipofika form two na kutaka kuwaonyesha ndugu zangu kuwa nimeanza kujua kiingereza nilikuwa naanza na ''Dear sister, Dear Father, Dear Brother.....Kwa miaka ya hivi karibuni matumizi ya neno dear yameongezeka sana, zamani ukimuita mtu dear maana yake kuna mapenzi kati yenu
Siku hizi dear linatumika kwa mtu yoyote yule hasa sisi wadada tunaitana sana hivyo.
Cha kushangaza sasa...Unaweza ukawa unawasiliana na mtu/mdada ambae hamfahamiani hata sura, inaweza ikawa kibiasha au kwa sababu nyingine, anakwambia okay dear, yaani dear dear za kutosha. Hili huwa linanishangaza yaani iweje huyu mtu hanijui kuniita dear amewaza nini. Sipendi hii tabia.
Sasa leo mimi nimefiwa na mjomba wangu jamani kwanza nipeni pole maana nina majonzi ya kutosha. Huyu mjomba tumeishi nae kipindi nipo mdogo, so ni mjomba wangu wa karibu sana. Rambi rambi napokea.
Nikapost whatsapp status rest in peace my uncle..kuna dogo mmoja ambaye ni fundi seremala huwa namtumia kunitengenezea baadhi ya kazi zangu akarespond ile status akasema "pole dear". Nimejibu asante lakini nimejiuliza sana huyu dogo vipi kuniita dear wakati hatuna hata mazoea nae zaidi ya kazi mara moja moja kuniita mimi dear. Sijapenda naona kama ni ukosefu wa adabu.
Je nyie wenzangu neno dear mnalitumia kwa watu aina gani? Mimi nalitumia kwa mpenzi na kwa mashosti zangu wa karibu kabisa.
Hiyo ni kikazi zaidi inaeleweka.Mpendwa mteja tuna furaha kukutangaza kama mshindi wetu wa droo yetu ya kila mwezi ya kausha damu- Dear customer we are pleased to announce to you as a winner of our monthly draw of kausha damu
Hata barua za ofsi tunaandika dear sir, dear madam etcNani alikudanganya dear ni kati wapenzi tu? Ushamba mwengine! Barua zangu zote nilipofika form two na kutaka kuwaonyesha ndugu zangu kuwa nimeanza kujua kiingereza nilikuwa naanza na ''Dear sister, Dear Father, Dear Brother.....