Bongo Trust
JF-Expert Member
- Apr 23, 2017
- 253
- 247
Okay, shukranWatumie sms moderator watumie na jina unalotaka kubadili...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay, shukranWatumie sms moderator watumie na jina unalotaka kubadili...
Kuna mwaka mzee wangu alifariki sasa kuna ishu nikawa nafuatilia kwenye ofisi moja ya serikali nikaambiwa nikamuone boss mmoja nakumbuka jina lake ni shirima....alichonijibu yule mzee sintosahau japo ni more than 20 years ago. Na nilishamlaani sintomsamehe..nilitamani nikajiunge alshabaab nirudi kumuonesha show kwa kauli ile ya kudharau kifo cha mzee wangu na kunifukuza kama mbwa. Ukizingatia jinsi tulivyomuuguza mzee kwa mda mrefu na alivyoteseka. Siku hiyo nilirudi home maza akaniuliza feedback sikumjibu nikaenda kwanza kujifungia geto...badae nikamwambia tu maza ningekua na uwezo wa kupata bunduki leo ningetafuta...na hapo nilikua o level tu. Sometimes nikiona madogo wameingia kwenye makundi ya kigaidi siwalaumu sana. Life pushes them to the limit na hawaoni option sababu kila mtu kama kawatenga
Dah ilikuaje mkuu ,,now una mtotoMimi daktari aliniambia wewe huwezi "kuzaa tena kwenye maisha yako".
Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
😂😅 Na ukajitoa akili ukamuamini mwanamke huyohuyo tena... Amecheza na fursa na akili yako tu"Hivi nelly ukipaangalia kwenu na kwetu unaweza kuwa na girl kama mimi"
Ilipelekea nika-fail mtihani muhimu sana shule ila mungu sio massawe demu ameolewa ila mimi ndio kama mume vile.
Kuna siku aliwahi kuniambia ile kauli anaijutia sanaa hata kama nilishamsamehe na kuahidi kunipenda mpaka kufa
Kwa hiyo njia utasubiri sana.Okay, shukran
Ukumpiga makofi ?Utaniharibia watoto...... mwanaume mbaya wewe...... Mvuto huna ukiondoa hivo vipesa vyako huna kingine cha kuringia.......
Watu wafupi mna shida sana aisee [emoji1][emoji1]Nilienda interview fulani we acha Kuna jamaa alinicheka tukiwa kweny foleni jamaa alimaliza mwaka mmoja kunizidi mimi .... Sasa wakati tunaingia ananicheka kwa vile kaumbo kadogo then sina time na mtu kumbe yeye alikuwa na connection tayar ila huwezi amini leo niko nae ofisi moja .
Siku tunasaini mkataba dah!! Ananiangalia kwa chuki mi sina time nae roho mbaya tu.
Ila roho yangu imegoma kuwa na shobo nae mwaka wa pili na nusu hata namba nimefuta alinionyesha dharau sana kisa yeye ni bonge bong ivi.
Ingia hapa: https://www.jamiiforums.com/account/account-detailsAnyways out of topic, naomba unisaidie kunieleza jinsi ya ku edit jina humu JF
mkuu watu wanashindwa kufananisha kauli mbaya na hard love,mfano mshikaji akikuambia"we jamaa usipopunguza pombe kaburi lako ntachimba kwa hasira sana".Baba Mdogo aliwahi kuja home, akakuta mshua analalamika kuhusu mimi kuhusu kumwambia anipe baraka zake nipambane kivyangu.
Wakachukulia kwamba, nimechoka kuchunga ng'ombe. Baba mdogo akaanza kunitukana akiniambia kwamba usipopenda ng'ombe na ukiziacha hizi ng'ombe hutakuja kufanikiwa kamwe! Kufanikiwa kwako ni kuchunga hawa ng'ombe hadi mwisho!
Alinipa maneno ya kuumiza sana na yenye hasira na ndio chanzo cha mimi kuleta ule uzi wa kujilipua Iringa.
Juzi ananipigia simu nimtumie hela ana shida imem'bana halafu kashindwa kuuza ng'ombe wake.
Ila mi hakunikatisha tamaa bali kama alinijaza nguvu.
naskiaga wagumu😂😂 wanasema papuchi ina nguvu sanaa😂😅 Na ukajitoa akili ukamuamini mwanamke huyohuyo tena... Amecheza na fursa na akili yako tu
Shukran ngoja nijaribu hiiKwa hiyo njia utasubiri sana.
Log in kwa kutumia browser, ingia kwenye profile yako.
Click account details, then change username.
Nashukuru bossIngia hapa: https://www.jamiiforums.com/account/account-details
Kwenye sehemu ya username weka jina unalotaka kutumia
Then subili ombi lako liwe approved
Nimeamini ni ukweli kabisa mkuuWanasemaga Kama masikhara ila ndio ushapewa mikosi..🤔
huyuu alikupa moyooooNishaambiwa na mdada fulani kama nisingekuwa na mkuyenge mtamu angeniacha