Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Wewe tuliza mshono!! Sasa tunasema KAZI IENDELEE! Hapo ni sawa na Hapa Kazi Tu!!Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
KAZI IENDELEE BY SAMIASijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
MATAGA ni hopeless kabisa. Wengi walikuwa waganga njaa wasioamini hata katika slogan yenyewe.Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
sasa hawa mamluki wataishije jamani ?Yeah...na mama kasisitiza "hii ni awamu ya sita"! Hapo kuna ujumbe mzito sana.
sasa hawa mamluki wataishije jamani ?
Mjane wa meko upo?Wewe tuliza mshono!! Sasa tunasema KAZI IENDELEE! Hapo ni sawa na Hapa Kazi Tu!!
Nimecheka kinyama !MATAGA sasa hivi wanauguza shingo na koo zao kwa kuimba mapambio miaka 5 mfululizo.View attachment 1754050
Rubbish, ninyi slogan zenu ni kama mvuke. Hazijawahi kuwa na impact yeyote chanya sio kwenye wenyewe au kwa taifa.Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Acha wivu bado lipo kwenye matukio barabara,stendi,elimu.....Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
Imekufa vipi wakati kazi inaendeleaSijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
JPMNeno "HAPA KAZI TU" lilitokana na CCM au JPM?
Kwi Kwi KwiRubbish, ninyi slogan zenu ni kama mvuke. Hazijawahi kuwa na impact yeyote chanya sio kwenye wenyewe au kwa taifa.
Sijawahi kuona Slogan iliyokufa kifo cha mende haraka kama hii , hivi hawa mataga hawakuamini kwenye msemo huu , au ndio ile kauli ya ASIYEKUWEPO NA LAKE HALIPO ?
Onyo : Usithubutu kuwaamini wapambe , na hasa wakiwa wachumia tumbo
kwahiyo Ile HAPA KAZI TU chali .Kazie iendeleee ,Matha-Make tanzania happy again.